DidYouKnow
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,094
- 1,691
Huyo Dada kafungwa bomu alafu kama anataka kucheka Bongo muvi hampo serious kabisa😁 katika hali kama hyo unawezaje kucheka
Ndio mkuu🤣🤣🤣🤣Ilo la mbele ya demu Bomu?
Hilo ni bomu au mtambo wa redio!!
Labda bomu linamtekenya tumboni, huwezikujua. Pia yazekana ni ingizo jipya la mabomu baada ya jamaa kurejesha Kabul mikononi!!!Huyo Dada kafungwa bomu alafu kama anataka kucheka Bongo muvi hampo serious kabisa😁 katika hali kama hyo unawezaje kucheka
Kuna moja nilionaga jamaa alipigwa kipepsi alirushwa mita mia hukoo😁😂View attachment 2017023View attachment 2017023
Bora ndugu zetu wahindi huwa wanajitahidi kiasi chake
View attachment 2017040
View attachment 2017041
Mwingine alimchinja mwenzake shingo kwa kutumia ndizi mbivu😂😂wahindi wanatuonaje sjuiKuna moja nilionaga jamaa alipigwa kipepsi alirushwa mita mia hukoo😁😂
Hiyo muv ya kikenya
hilo bomu au monitor afu mbona binti anachekeleea