Habari ya mchana,
Kwa wana it wote lakini kwa upande wakutengeneza mambo haya
Mobile Application
Desktop Application
Website
Kama umewahi kutana na changamoto ya kazi kushindikana kwa vitu hivyo au unayo kazi imeshindikana au umetafuta mtu akufanyie kazi ikashindikana. Basi weka komenti yako...
President Samia Suluhu Hassan of Tanzania
This morning, many newspapers have headlines suggesting public panic related to the recent tax deductions related to mobile digital transactions, which effectively commenced yesterday.
Such tax deductions through digital transactions are not new in...
KUMBUKA
• Hakuna makato yoyote unapoweka pesa kwenye akaunti yako kupitia wakala wa M-Pesa
• Hakikisha taarifa zako za M-Pesa ni sahihi vinginevyo fika katika duka la Vodacom lililopo karibu nawe kuhakiki taarifa zako
• Unaweza kutuma hadi Tshs 5m kwa siku au kuwa na hadi Tshs 10m kwenye...
Mbezi, Dar es salaam ---- The capacities of mobile technology include enhanced communication via SMS messaging, as well as more accessible online education. Internet-based services are growing in popularity in developing nations, resulting in new jobs and revenue for people. Advances in mobile...
3 Dec 2015
Melbourne, Australia
"The truth about mobile phone and wireless radiation" -- Dr Devra Davis
Published on 3 Dec 2015
"The truth about mobile phone and wireless radiation: what we know, what we need to find out, and what you can do now" Presented by Dr Devra Davis, Visiting Professor...
Siku zote nimekuwa nikitoa hela kwa kutumia application ya NMB Mobile Bank na mara zote hizo sikuwai kuwa makini na masuala ya ada ya makato ambayo inachukuliwa na hawa NMB, mpaka pale nilipoamua niangalie huwa wanachukua shilingi ngapi ndipo niliposhangazwa zaidi.
Nilianza kutoa laki moja na...
Safaricom is still hopeful that it will launch mobile money services in Ethiopia as it awaits the decision on the acquisition of a licence to operate in the country.
The telco’s bid for control of the Ethiopian telecommunication market seems to have received a boost ahead of the official...
Kama mmoja wawatumiaji wa Mobile Trading iliyoanzishwa na Dar es salaam Stock Exchange siku za husoni napenda kuzungumzia yafuatayo kwa kuwasadia watumiaji wa sasa na wajao pamoja na kuwajibishwa na wanaosimamia hiyo DSE mobile Application.
1. Kwa uwelewa wangu mdogo , Mobile App yoyote kabla...
Huu mtandao sasa basi, unatia kichefuchefu hadi kutapika. Kwao wateja si watu wa kuthaminiwa tena. Wameshiba utajiri waliochuma kwa wateja wanaowadharau na kuwapuuza. Unaripoti tatizo kwao (customer care) halitatuliwi.
Baadhi ya kero za TIGO Mobile:
1. Unalipia kifurushi (data au muda wa...
Habarin wana jamii forum nina pesa zangu zipo huko neteller ni dollar kadhaa na nina shida nazo nataka nizitoe fasta shida ni kwamba kwa tanzania ni only to bank hakuna mobile network.
Na ubaya ni kwamba njia ya benk pesa inachukua mda mrefu kufika na pia makato ni makubwa kulinganisha na simu...
Unaweza kuwa umetengeneza Application ya Mjziki, Michoro, Ramani za Nyumba, Vitabu, Video au chochote kile.
Ku access hivyo vitu mtu inabidi alipie. Unatumia njia gani watu wafanye malipo kirahisi?
Ukizingatia kuwa watanzania pesa zao nyingi zipo kwenye simu (M-Pesa etc).
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania eti;
Kwanini TANAPA hawana "Mobile Zoos" kwa ajili ya kubebea wanyama pori wepesi kwa ajili ya maonesho kama ambavyo kuna Mobile ATMs, Mobile Court pamoja na Mobile Hospitals?
MWEZI FEBRUARY MWAKA 2019...
Habari za leo wandugu!
napenda kushirikishana nanyi jambo moja ambalo yamkini wengine walishalizungumzia au wanalifanya lakini sio mbaya na mimi nikiligua kwa nafsi yangu.
kwa kipindi hiki cha sasa kumekuwa na wimbi kubwa la kukosa ajira na hivyo kupelekea mai9sha kuwa duni kwa baadhi ya watu...
A major hack that compromised Uganda’s mobile money network has plunged the country’s telecoms and banking sectors into crisis.
The Oct. 3 hack was a result of a security breach on a consumer finance aggregator, Pegasus Technologies, which mainly affected bank to mobile wallet transfers...
Mobile Fleet HD Technician
Reporting to: First Line Leader Mobile Fleet Underground
Work Schedule: 42 Days On / 21 Days Off
Duration: 2 Years
POSITION DESCRIPTION:
Bulyanhulu Gold Mine is seeking to recruit Mobile Fleet HD Technician to join our team. The successful candidate for this...
STUDIO IPO DAR ES SALAAM, POSTA MPYA MTAA WA JAMHURI, LAKINI SIFA KUU NI KWAMBA STUDIO YETU INATEMBEA KUKUFUATA MAHARI ULIPO. TAFADHARI TUTEMBELEE, AU TUPIGIE 0624 136 775 AU 0785 029 655.
KARIBUNI.
Qatar Airways Celebrates the Launch of its Enhanced Mobile App with a Special Promotion
With several new features, the airline’s mobile app is the perfect travel companion for passengers and supports a more contactless journey
Qatar Airways is offering great savings and up to 3,000 bonus...
Habari wadau! Kama kichwa kinavyosema, ninatoa huduma ya hosting bure kabisa kwa miezi 6 na pia kama unahitaji kua na website au mobile application (ios & android), pia utapatiwa kwa gharama nafuu sana. Napatikana kwa +255 768 55 8494.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.