Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Unaweza kuwa umetengeneza Application ya Mjziki, Michoro, Ramani za Nyumba, Vitabu, Video au chochote kile.
Ku access hivyo vitu mtu inabidi alipie. Unatumia njia gani watu wafanye malipo kirahisi?
Ukizingatia kuwa watanzania pesa zao nyingi zipo kwenye simu (M-Pesa etc).
Ku access hivyo vitu mtu inabidi alipie. Unatumia njia gani watu wafanye malipo kirahisi?
Ukizingatia kuwa watanzania pesa zao nyingi zipo kwenye simu (M-Pesa etc).