mke

The MPT (stands for Turkish: Millî Piyade Tüfeği, English: National Infantry Rifle) is a modular rifle family designed by MKEK and produced by MKEK, Sarsılmaz Arms and Kalekalıp to meet the demands of the Turkish Armed Forces and to replace its aging rifles such as Heckler & Koch G3 and Heckler & Koch HK33 due to most of them being near the end of their service life. The MPT was designed for robust high altitude, all weather combat, capable of functioning in extreme hot and cold weather. The MKEK MPT is a rifle intended to take abuse and extreme mistreatment and still maintain high accuracy and reliability in order to survive in true battle environments. The Turkish government has invested US$22 million into the project.It made its first public appearance at the Eurosatory 2014, ADEX 2014 and the MSPO 2014 events.

View More On Wikipedia.org
  1. Miss Zomboko

    Uganda: Askofu avuliwa nafasi za kuhudumia Kanisa kutokana na kashfa ya kutoka kimapenzi na mke wa mtu

    Kanisa la Kianglikana nchini Uganda limemvua cheo aliyekuwa askofu mkuu wa kanisa hilo, Stanley Ntagali, na kusitisha utendaji wa majukumu ya uaskofu pamoja na kuzuiwa kuwakilisha kanisa hilo kabisa kwasababu ya madai ya uzinzi. Bwana Ntagali alistaafu mwaka jana Machi baada ya kuhudumu kwa...
  2. Sky Eclat

    Bob Wine ana mke mzuri sana

  3. Jasusi Mbobezi

    Mtwara: Ajichoma moto Baada ya Kumfumania mke wake

    Mtu mmoja aliejulikana kwa jina la Chikwisu mkazi wa Majengo Newala mjini amefariki dunia baada ya kujimwagia mafuta ya petrol mwilini na kujichoma huku kisa kikitajwa kuwa ni ugomvi wa kimapenzi na mke wake. Awali akizungumza na Newala FM Leo, mtoto wa marehemu Msafiri Hashimu amesema...
  4. Chizi Maarifa

    Unakuta Binti Mzuri, ana Shape unasema Mke Huyu. Kumbe nyuma ameweka kitunguu!

    Jambo hili limeniumiza moyo sana.miaka ya nyuma waliokuwa wakisemwa sana kwa michezo hii ya matumizi kinyume na Maumbile walikuwa ni Zanzibar, Tanga na Mombasa. Siku hizi na mikoa mingine wameiga.hasa Dar es salaam. Kwa Zanzibar,Tanga na Mombasa Tamaduni zao zilikuwa zinajenga kuwa binti...
  5. Samia atosha tukutane2030

    Kijana tumia njia hizi 2 kumjua mke sahihi wa kumuoa

    Wanaume wengi wamejikuta wameoa wanawake ambao sio size yao. Wengine wakahisi kuachana ndio suluhisho. Ok, kwakuwa hili si tangazo twende kwenye points. 1. Mpigie kwa namba ngeni, kama akianza kwa kuuliza wewe nani? Hapo unaoa mwanamke asiye na akili za kutosha au unamuoa mtu mwenye tabia za...
  6. I

    Nilizaa na mke wa mtu, anataka kunidhulumu mtoto

    Wadau wa humu JF habari za harakati na mapigo ya ada za January hii Niende kwenye topic moja kwa moja... nilizaa na mke wa mtu tena wa rafiki yangu kwa siri na kwa makubaliano kwamba akifikia umri fulani wa kujitambua mama yake afanye whatever possible kum-link na mie baba yake halisi. Mtoto...
  7. Carleen

    Hivi kimaadili ni sahihi mke wa mtu kumsifia mwanaume mwingine?

    Hi guys, Leo hata sina mengi naomba tu kuuliza hili, tunafahamu kuwa wanaume huwa mabingwa wa kutusifia wanawake, uwe umependeza, unanukia vizuri, au vyovyote vile inavyofaa kiheshima na huwa hawatazami huyu ni mke wa mtu ama mchumba wa mtu, huwa wana appreciate tu, na hakuna atakayelishangaa...
  8. M

    Kaenda Night Club na mkewe kaishia kugongewa humo humo

    Hii nimeshuhudia kwa macho yangu katika moja ya clubs za usiku hapa mjini Nikiwa na mshikaji wangu wa kiume tunafanya yetu club (pombe na kusmoke kwa saaana,huku tukiangalia matrako ya warembo wakiyatingisha tingisha) Pozi letu lilikua counter,ghafla akaja jamaa mmoja na mwanamke mmoja,kwa...
  9. Sky Eclat

    Ukweli wa mume wake ulibadilisha tabia yake na akawa mke mwema

    Yasmin ni mwanamke mrembo. Tatizo kubwa alikokuwa nalo Yasmin hakuweza kuwa kwenye mahusiano na mwanaume mmoja. Akiwa kwenye mahusiano, huyo mwanaume akisafiri lazima apate Kiserengeti cha kumliwaza. Hii ilipelekea mahusiano yake mengi yasifike kwenye ndoa baada ya habari kuvuja. Alitokea...
  10. and 998 others

    Mchepuko umenizalia 'Twins' kwa surprise

    Kama mjuavyo makazi ni Kerege Sasa kutokana na umbali kwenda kazini (Posta mpya CBD) nikaja kupanga chumba tena kimoja maeneo ya Kinondoni Studio. Basi, nikapata mchepuko wa kupunguza ashki katikati ya wiki (huku na kule) akanasa mimba. Sasa kajifungua Jana (Jumapili) nikawa nipo na wife Kerege...
  11. W

    Msichana (mke) mwenye mapenzi mema karibu tuyajenge. (Huu ni mwaka wa kujiunga na chama cha wanandoa)

    Ndugu zangu wana JF huu ni mwaka wa pekee katika historia ya maisha yangu ni mwaka ambao natarajia kuaga rasmi katika chama kikuu cha useja na kupewa usajili wa kudumu katika chama cha wanandoa. Japokuwa sina mchumba kwa sasa na kwa kuwa tunaishi kwa imani ni matumaini yangu kuwa...
  12. Maleven

    From nowhere nimetumiwa na mke wangu hii text

    "Nakupenda sana mume wangu sina mwengine zaidi yako" Je, kuna usalama kweli wakuu? Niko mbali na mke wangu, then from nowhere kanitumia hiyo text.
  13. Boflo

    Unaweza kutumia mswaki wa mpenzi wako?

    Leo nilitembelewa na mpenzi wangu, akaenda bafuni kuoga, mara nikamuona anapiga mswaki akitumia mswaki wangu, nikashtuka na kumuuliza kwa nini anatumia mswaki wangu? Akanijibu kwani vibaya! Wewe si mpenzi wangu! Kama hutaki nitumie basi hunipendi? Nikazuga kumwambia nakutania. Hivi wana JF...
  14. GIRITA

    Nguvu za giza zimevunja ndoa ya jirani yangu

    Jamaa alikuwa anaishi vizuri na mkewe,wameoana kwa shangwe na furaha kubwa, wakabahatikiwa kupata mtoto mmoja katika ndoa yao. maisha ya ndoa yalianza kubadilika baada ya rafiki yangu kuanza safari za kikazi mara kwa mara,ndipo shemeji akaanza tamaa za kimapenzi kwa kijana mmoja mkopesha...
  15. E

    Mke wa kipofu anatembea na kiziwi kwa siri

    Mke wa kipofu anatembea na kiziwi kwa siri lakini anaejua siri hii ni bubu. Je bubu atatumia njia gani kumwambia kipofu kua mkewe anatembea na kiziwi?
  16. M

    Muda niliopoteza kwa mtu asiyesahihi unanicost, je naweza pata mke tokea mtandaoni akawa mwema?

    Nishaandika week hii, nimeugulia Sana Maumivu, nataman kua na mwenza lakin kila nikiwaza jinsi ya Kumpata mwenye vigezo navyotaka nahisi ugumu, Imefika hatua nawaogopa wanawake kuanzisha nao mahusiano yaliyopita serious kwa ajili ndoa, kwakuwa kila nikianza fikiria maumivu ntakayopata pindi...
  17. M

    Muda niliopoteza kwa mtu asiye sahihi unanicost, Umri unaenda nataka mke. Je, inawezekana akapatikana mtandaoni akawa mwema?

    Nishaandika week hii, nimeugulia Sana Maumivu, natamani kuwa na mwenza lakini kila nikiwaza jinsi ya kumpata mwenye vigezo navyotaka nahisi ugumu. Imefika hatua nawaogopa wanawake kuanzisha nao mahusiano yaliyopita serious kwa ajili ndoa, kwakuwa kila nikianza fikiria maumivu ntakayopata pindi...
  18. mzee wa kasumba

    Kwanini uliamua kufanya mapenzi na Mke/Mume wa mtu?

    Baadhi yetu mtaichukulia hii posti kama ni ya ujinga flani hivi. Ila nadhani wachache watanielewa ninachomaanisha. Kila mtu anajua kuwa mke wa mtu / mume wa mtu ni sumu lakini katika mazingira yaliyotuzunguka unaweza ukajikuta umeangukia katika mikono hiyo ambayo sio salama hata kidogo...
  19. kunta93

    Una mpango wa ku-date na mke wa mtu? Zingatia haya

    1: Mke wa mtu unapiga mara Moja.ukinogewa shauri ako. 2: Tafuta njia mbadala ya kuwasiliana nae.iwe ya tofauti.mimi hua natumia email,natuma email ndefu af ujumbe unakua katikati 3: Usitumie guest/lodge Moja.ue unabadilisha badilisha ikibidi hata maeneo pia.leo unapgia kibaha,kesho mbagala...
  20. Mtu Asiyejulikana

    Mke wa Rafiki yangu na Rafiki Yangu mwenyewe wananipa changamoto kubwa sana

    Huyu jamaa yangu kitambo sana toka A- Level Visiga. Then tukaenda wote Chuo Kikuu cha Tanzania (Udsm) pale wote tulisoma Degree moja na kukaa Room moja Main Camp all 4 years wote tukipigwa lecture sometimes na Prof Kabudi. Tukiwa A- Level jamaa alikuwa anafikia home akitoka kwao au shule sababu...
Back
Top Bottom