johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
Waziri wa fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amefika bungeni na mke wake pamoja na watoto wake watano.
Mwigullu leo anawasilisha Mpango wa maendeleo wa taifa.
Spika Ndugai amesema hao watoto watano ndio wale wanaojulikana kisheria kwani kimsingi idadi ya watoto wanaijua akina mama.
Chanzo: TBC
Ukinizingua Nitakuzingua.
Mwigullu leo anawasilisha Mpango wa maendeleo wa taifa.
Spika Ndugai amesema hao watoto watano ndio wale wanaojulikana kisheria kwani kimsingi idadi ya watoto wanaijua akina mama.
Chanzo: TBC
Ukinizingua Nitakuzingua.