Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 6,860
- 12,291
Habari zenu ndugu, jamaa na marafiki mliopo hapa. Kwanza kbs napenda kutoa pole kwa Raisi wetu mama Samia Suluhu Hassani, kwa familia ya mama yetu mama Janet Magufuli na kwa watanzania wenzang kwa kuondokewa na aliekuwa raisi wetu marehem John Pombe Magufuli.
Niingie sasa kwenye mada husika. Nakumbuka zamani wakati nipo mdogo niliwahi kusikia kuwa aliekuwa Rais wetu enzi zile mheshimiwa mzee Ally Hassan Mwinyi alikuwa na wake wawili yani bi siti Mwinyi na bi Hadija Mwinyi (ingawa kuna wengine walisema eti ana wake watatu) ila huyo wa 3 mimi sijawahi hata kulisikia jina lake.
Sasa basi miaka yote hiyo nimekuwa nikimuona Mzee Mwinyi akiwa na bi Siti Mwinyi pekee, huyo bi Hadija Mwinyi sijawahi kumuona.
Sasa swali langu je ni kweli mzee Mwinyi ana mke anaitwa Hadija? Na kama anae yuko wapi? Na ni kwanini huwa haongozani nae kama ilivyo kwa bi Siti Mwinyi?
Tafadhali mwenye kujua naomba anieleweshe huenda tulikuwa tunapotoshwa
Niingie sasa kwenye mada husika. Nakumbuka zamani wakati nipo mdogo niliwahi kusikia kuwa aliekuwa Rais wetu enzi zile mheshimiwa mzee Ally Hassan Mwinyi alikuwa na wake wawili yani bi siti Mwinyi na bi Hadija Mwinyi (ingawa kuna wengine walisema eti ana wake watatu) ila huyo wa 3 mimi sijawahi hata kulisikia jina lake.
Sasa basi miaka yote hiyo nimekuwa nikimuona Mzee Mwinyi akiwa na bi Siti Mwinyi pekee, huyo bi Hadija Mwinyi sijawahi kumuona.
Sasa swali langu je ni kweli mzee Mwinyi ana mke anaitwa Hadija? Na kama anae yuko wapi? Na ni kwanini huwa haongozani nae kama ilivyo kwa bi Siti Mwinyi?
Tafadhali mwenye kujua naomba anieleweshe huenda tulikuwa tunapotoshwa