Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
AMWAGIA TINDIKALI (ACID) KISHA AKAMUUA MCHEPUKO WAKE
Mume wa mtu nchini Kenya, Evans Karani (38) ashikiliwa kwa tuhuma za kumuua mchepuko wake kwa jina la Catherine Nyokabi (25) huko Juja, Kiambu.
Kwa mujibu wa television ya K24 na Standard Media, Mamlaka za serikali nchini humo zimesema uchunguzi wa awali umebaini wawili hao walikuwa na ugomvi takribani wiki mbili kabla. Evans anatajwa kuupakia kwenye gari lake mwili wa mdada huyo ukiwa ameharibika kwa majeraha ya vipigo na kuungua.
Lakini akiwa njiani gari lilikwama kwenye matope na kuamua kuliacha na mwili wa mdada Kisha yeye kukimbia.
Wananchi eneo hilo waliwataarifu police ambapo uchunguzi wa usajili wa gari ndio ulibaini umiliki wa Evans. Evans ambaye ana mke anadaiwa kukiri kumuua Catherine ambaye alikuwa mchepuko wake
Baba wa Catherine akizungumza amesema awali waliambiwa kafa kwa ajali lakini baada ya kuona mwili wa mwanae ishara zilionesha sio ajali. Mamlaka za uchunguzi zimekaririwa zikieleza kuwa inaonekana Catherine alipigwa kwanza Kisha kumwagiwa kimiminika Cha kemikali kuunguzwa.
Baba mzazi wa Catherine amesema binti yake aliwahi Kumtambulisha huyo mwanaume kuwa Ni wapenzi, hivi karibuni akamwambia hawako sawa baba'ke akamwambia Kama Ni hivyo Haina haja ya kuwa kwenye mahusiano yanayokunyima amani na furaha na baada ya hapo hakusikia Tena habari za huyo jamaa mpaka akaletewa taarifi za kifo cha binti yake
Mume wa mtu nchini Kenya, Evans Karani (38) ashikiliwa kwa tuhuma za kumuua mchepuko wake kwa jina la Catherine Nyokabi (25) huko Juja, Kiambu.
Kwa mujibu wa television ya K24 na Standard Media, Mamlaka za serikali nchini humo zimesema uchunguzi wa awali umebaini wawili hao walikuwa na ugomvi takribani wiki mbili kabla. Evans anatajwa kuupakia kwenye gari lake mwili wa mdada huyo ukiwa ameharibika kwa majeraha ya vipigo na kuungua.
Lakini akiwa njiani gari lilikwama kwenye matope na kuamua kuliacha na mwili wa mdada Kisha yeye kukimbia.
Wananchi eneo hilo waliwataarifu police ambapo uchunguzi wa usajili wa gari ndio ulibaini umiliki wa Evans. Evans ambaye ana mke anadaiwa kukiri kumuua Catherine ambaye alikuwa mchepuko wake
Baba wa Catherine akizungumza amesema awali waliambiwa kafa kwa ajali lakini baada ya kuona mwili wa mwanae ishara zilionesha sio ajali. Mamlaka za uchunguzi zimekaririwa zikieleza kuwa inaonekana Catherine alipigwa kwanza Kisha kumwagiwa kimiminika Cha kemikali kuunguzwa.
Baba mzazi wa Catherine amesema binti yake aliwahi Kumtambulisha huyo mwanaume kuwa Ni wapenzi, hivi karibuni akamwambia hawako sawa baba'ke akamwambia Kama Ni hivyo Haina haja ya kuwa kwenye mahusiano yanayokunyima amani na furaha na baada ya hapo hakusikia Tena habari za huyo jamaa mpaka akaletewa taarifi za kifo cha binti yake