mke

The MPT (stands for Turkish: Millî Piyade Tüfeği, English: National Infantry Rifle) is a modular rifle family designed by MKEK and produced by MKEK, Sarsılmaz Arms and Kalekalıp to meet the demands of the Turkish Armed Forces and to replace its aging rifles such as Heckler & Koch G3 and Heckler & Koch HK33 due to most of them being near the end of their service life. The MPT was designed for robust high altitude, all weather combat, capable of functioning in extreme hot and cold weather. The MKEK MPT is a rifle intended to take abuse and extreme mistreatment and still maintain high accuracy and reliability in order to survive in true battle environments. The Turkish government has invested US$22 million into the project.It made its first public appearance at the Eurosatory 2014, ADEX 2014 and the MSPO 2014 events.

View More On Wikipedia.org
  1. Digital base

    Natafuta mke mkweli na muwazi anayejua kutunza upendo wa mume

    Habari ya leo wakuu,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29 Elimu yangu kidato cha nne Umbo la mwili wangu ni mwembamba na mrefu kiasi. Kabila langu Mnyamwezi naishi Dar. Kazi yangu Mjasiriamali/biashara Dini yangu mkristo. Mke nnaye muhitaji awe mweupe/ maji ya kunde Umri kuanzia miaka 23 Awe...
  2. Kipenzi Changu

    Uko wapi utamu wa mke wa mtu? Jamaa nimemshauri hataki kuacha

    Ndugu yangu huyu ni mwaka na nusu sasa anadunda na mke wa mtu. Mwaka jana nikamshauri amwache mara moja,akakubali ila akaendelea kwa kificho. Siku ya valentine day akampost kidogo whatsapp halafu akafuta. Ikabidi nimuweke kikao cha kishikaji na washkaji. Tukampa risala nzito,kumbe alivyotoka...
  3. mzee wa kasumba

    Yaliyonikuta kwa mke wa FFU

    Maishani kuna mengi ya kukumbukwa, ila kuna mengine ya kukumbukwa zaidi. Hii ni kutokana na uzito wake Mke wa mtu sumu Dada huyu alikuwa na duka jirani na ambapo nilikuwa naishi. SIkuwa na mazoea naye kabisa awali. Lakini kadiri siku zilivokwenda alianza kuleta mazoea kidogo kidogo. Muda wote...
  4. comte

    Mama amkataliwa kijana wake kulala kitanda kimoja na mke wake kwenye mji wake waliko kwenda kuomba hifadhi baada ya mafuriko

    https://www.yahoo.com/news/woman-blown-away-mother-law-183710718.html
  5. Bujibuji Simba Nyamaume

    Kwanini ni rahisi kujua mke akichepuka?

    KWA NINI NI RAHISI MWANAMKE KUGUNDULIKA ATOKAPO NJE YA NDOA? Hakika mwanamke ni rahisi sana kugundulika endapo anatoka nje ya ndoa, kwa sababu Mwenyezi Mungu amemuumba mwanamke aishi na mwanamme mmoja tu, na hakumpa kabisa uwezo wa kuonyesha mapenzi kwa watu wawili tofauti kwa kiwango sawa...
  6. M

    Mke mwema anahitajika

    Mimi ni kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 34. Mimi ni msomi ngazi ya Master's Degree. Mie ni mkazi wa Dar na ni Mtumishi wa Umma. Tangazo hili sio jipya nimeamua kulirudia tena kwa sababu sijampata ninayempenda. Ninahitaji mwanamke mwembamba mrefu akiwa mweupe au mweusi yote sawa...
  7. Leslie Mbena

    Ushuhuda wa mke wangu kupona COVID19 baada ya kumuombea kwa kutumia medium ya new annointing water ya TB Joshua

    USHUHUDA WA MKE WANGU KUPONA COVID 19 BAADA YA KUMUOMBEA KWA KUTUMIA MEDIUM YA NEW ANNOINTING WATER YA TB JOSHUA. Leo 22:30hrs 20/01/2021 Bwana Yesu atukuzwe ndugu zangu,Namshukuru Mungu kwa sababu ya neema yake kuu juu yangu na Familia yangu,Jina langu ni Leslie Mbena,Mume na Baba wa watoto...
  8. M

    Natafuta mke wa nne (04) awe na sifa kuu saba (07)

    Habari wana jukwaa. Tayari nina wake watatu (03), wote ni wake wema na wana sifa za msingi kuwa wake bora. Sasa natafuta mke wa nne (04). Huyu namuoa kama sehemu ya kusaidia watu wenye uhitaji maalum kwenye jamii. Muhusika awe na sifa zifuatazo;- 1. Awe mjane (sio aliyepewa talaka), 2. Anaweza...
  9. Sky Eclat

    Mke wa Rais wa Marekani ameweka ujumbe wa Valentine kwenye bustani za White House

    Jill Biden ameweka alama za moyo na katika kila moyo ameandika ujumbe Healing, Courage, Love, Compassion, Gratitude, Peace, Amor, Strength, Kindness, Family, Unity. Love Jill
  10. Inog01

    Mke wangu uko wapi? Nimechoka kuwa single nahitaji kuoa

    Habari wanajamvi.Nahitaji kuoa sasa. Nina miaka 29. Dini mkristo Kazi nimejiajiri. Nahitaji msichana atakayekuwa mke wangu Umri asizidi miaka 27 . Dini awe mkristo Akiwa mweupe ama maji ya kunde ni vizuri zaidi, asiwe chibonge. Niko serious aliyetayari ani PM tafadhari.
  11. M

    Ngumu sana kupata mke wa kuoa

    Nilitangaza kutafta mke ila vigezo tajwa Wengi hawakuvitimiza kwa ufasaha 1.Mwanamke mkristo 2.Mwanamke siyo mwembamba ila awe na umbo mashalah (wamejitokeza wenye unene wa tumbo) 3.Elimu sikuijali sana 4.Sikutaka mfupi, sitaki kafupi, Wengi waliojitokeza na kati ya hao sifa hawana
  12. E

    Mke kufurahia anguko la Mume

    Katika maisha ya ndoa niliwahi kushuhudia mke wangu wakati fulani anafurahia magumu ninayopitia kazini (demotion na suspension). Tukigombana kidogo tu anabwatuka na utafukuzwa hiyo kazi. Lakini nashukuru Mungu leo hii nafuu kubwa Sana (nilipata kazi nyingine na mshahara mkubwa Zaidi). Wakati...
  13. sky soldier

    Labda mnielimishe nyie, sioni faida ya paka ambae mke anamgharamia sana bila faida

    MUHIMU: PICHA HII SIO YA PAKA WA HAPA KWETU Hapa kwangu napoishi tuna paka, Sio mimi niliemleta bali ni mke wangu. Hatuna tatizo la panya kwa hio bado sielewi paka anahitajika wa nini. Kuna jirani ana fuga ngombe huwa anatuuzia maziwa nyumba chache, Mke wangu alilipia ujazo wa ziada...
  14. Mwanga Mkali

    Ukioa mke mmoja akili haifanyinyi kazi!

    Amani iwe kwenu! Natoa wito kwa wanaume ili upate mafanikio ya haraka, oa mke zaidi ya mmoja, utaona nacho maanisha.
  15. K

    Natafuta mke wa kuoa

    Natafuta mwanamke aliyetayari kwa marriage si ngono. Sijawahi kuoa ila ninaye mtoto wa kike wa miaka 7. Umri wangu miaka 39. Mbali na tabia njema, pia ninavutiwa na mwanamke maji ya kunde, mrefu wa kawaida, asiwe na asili ya unene maana mi ni mwembamba. Awe mcha Mungu Mkristo wa dhehebu...
  16. MSAGA SUMU

    Kutana na kijana Issa Haruna, mke wake na mwanae

    Mbali na jina lake Issa Haruna, jijini Mwanza, hasa eneo la Kirumba anafahamika kama Issa Mapilau kutokana na uwezo aliyonao wa kula chakula kingi. Kwa sababu hiyo, pia mitaani wamempa majina mengi, baadhi humwita Matonge na wengine Mapleti. Issa mwenye uzito wa kilo 85 na umri wa miaka 27, ni...
  17. M

    Natafuta mwanamke wa kuoa

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31. Elimu yangu ni bachelors degree. Ni mwajiriwa na nimejiajiri pia. Dini yangu ni Mkristo. Nahitaji mke mwenye umri wa miaka 20-32. Dini awe mkristo
  18. J

    Hamis Talatale: Sijamtoa kafara mke wangu ili nipate ubunge, nilimpenda sana haina mfano!

    Mbunge wa Morogoro kusini mashariki mh Hamis Taletale aka Babu Tale akijibu swali la mtangazaji Salama Jabir wa Eatv kama kuna ukweli wowote wa habari zilizoeneaga kwamba amemtoa kafara mkewe ili apate ubunge Taletale amesema huo ni uzushi mtupu na alishaupuuza. Babu Tale amesema hizo zilikuwa...
  19. S

    Natafuta mke

    Natafuta mke Sifa za muhitaji .Mrefu .Mweusi .Diploma ya afya(mwajiriwa gov) .Mwembamba kiasi .Miaka 32 Naishi Dodoma mjin Sifa anayehitajika .Urefu wa wastan .Maji ya kunde au mweupe .Elimu kuanzia std 7 .miaka 26-30
  20. Samia atosha tukutane2030

    Ukweli mchungu: Hakuna ndoa ya mume na mke kuishi sehemu tofauti

    Hapa naweza kurushiwa mawe ila mara nyingi mimi huwa napenda kuwaambia watu ukweli. Hakuna ndoa ya mume na mke kuishi sehemu tofauti kwa kipindi kirefu bila sababu za msingi. Ni vyema kama mume na mke mnafanya kazi nchi, mkoa au wilaya tofauti kabla ya kufunga ndoa mkubaliane aidha mmoja ahamie...
Back
Top Bottom