Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,506
- 27,002
Ndugu zangu!
Hii ni zawadi kubwa na ya kwanza unayoweza kuwapatia wanao kabla hata hawajazaliwa. Wapende na uwaheshimishe wanao, wachagulie mama bora chini ya jua.
Hata kwa mujibu wa mandiko matakatifu, Jehova alifanya vivyo hivyo. Na hata Yesu alipoandaliwa mwana-punda, ni yule asiyepandwa.
Kulingana na mazingira na kwamba si wakamilifu, lakini angalau kuna wale wenye afadhali.
Hebu jipe tafakuri kidogo tu. Kabla uchukue mke kwa kigezo cha ufundi kwenye mambo yetu. Eti uliingia kwake kwa kujua kabisa ni cha wote, ila tu akakunogesha na kumfanya mama watoto!
Hayo maziwa unayolamba hovyo na kupitisha dushe lako, na wajuba kadhaa wamefanya hivyo miaka kadhaa kabla yako. Hicho ndicho chakula kikuu cha kila mwanao kwa miaka miwili. Bado utasema unawapenda?
Ni kweli hatuna usafi kivile chini ya jua, lakini walau basi uwe na wivu wenye upendo kwa wanao.
Chagua kilicho BORA.
Hii ni zawadi kubwa na ya kwanza unayoweza kuwapatia wanao kabla hata hawajazaliwa. Wapende na uwaheshimishe wanao, wachagulie mama bora chini ya jua.
Hata kwa mujibu wa mandiko matakatifu, Jehova alifanya vivyo hivyo. Na hata Yesu alipoandaliwa mwana-punda, ni yule asiyepandwa.
Kulingana na mazingira na kwamba si wakamilifu, lakini angalau kuna wale wenye afadhali.
Hebu jipe tafakuri kidogo tu. Kabla uchukue mke kwa kigezo cha ufundi kwenye mambo yetu. Eti uliingia kwake kwa kujua kabisa ni cha wote, ila tu akakunogesha na kumfanya mama watoto!
Hayo maziwa unayolamba hovyo na kupitisha dushe lako, na wajuba kadhaa wamefanya hivyo miaka kadhaa kabla yako. Hicho ndicho chakula kikuu cha kila mwanao kwa miaka miwili. Bado utasema unawapenda?
Ni kweli hatuna usafi kivile chini ya jua, lakini walau basi uwe na wivu wenye upendo kwa wanao.
Chagua kilicho BORA.