Nimetafakari Sana Mahusiano ya watu tajwa hapo juu, Yan kabla ya kijana kuoa na baada ya kijana kuoa.
Katika uchunguzi wangu mdogo familia nyingi kabla ya kijana kuoa zinakuwaga na utulivu amani na upendo baina ya kijana, Mama wa kijana na (ma)dada wa Kijana.
Lakini baada ya kijana kuoa na kuanza maisha yake mapya ya ndoa, mahusiano haya hupukutika taratibu na mwisho kuishia kabisa au kubakia na upendo wa kinafki.
Unakuta mwanamke ameolewa na kijana Hana tatizo lolote na wakwe au mawifi zake tabia njema, ustaarabu, heshima utiii vyote anavyo, lakini muda unavyozidi kwenda kunakuwaga na chuki zisizo julikana hutokea wapi kutoka kwa mama wa kijana kwenda kwa mwali, au Dada wa Kijana kwenda kwa wifi yake huyo.
Hapa sijazungumzia upande wa mke mkorofi. Nimezungumzia upande wa mke mwenye utii, heshima,adabu na kila sifa impasayo kuwa nayo " wife material"
Vitaanza visa, mikasa, chuki uchonganishi wa ajabu ajabu hapo usiombe kijana awe ameoa halafu anakaa na mama yake Mzazi au dada nyumba moja.. Huyo mke Cha moto atakiona...
Najaribu kuwaza ni kwanini mama mkwe hajawahi kukubaliana na Hali ya kwamba kijana ameoa na ampende mwali wake upendo ule ule anaompa kijana wake.. maana kimsingi hawa wote ni watoto wake.
Hii chuki huenda mbali mpaka kwa watoto wa Kijana na watoto wa dada wa Kijana.. upendo wa Bibi Mara nyingi kwa hawa wajukuu zake Mara nyingi hauwezagi kuwa sawa lazima tunkwa kiasi fulan watoto wa dada wa Kijana watapendelewa zaidi..😔😔
Mwisho wa siku Kama kijana atashindwa kuwa na msimamo mkali na kuweka mipaka Kati ya pande hizi mbili (mama mkwe)mawifi na familia yake mpya) ndoa hii huvunjika kabisa.🤔🤔
Ni kwanini familia ya kijana inashindwa kabisa kumpokea binti anayeingia kwenye familia yao moja kwa moja bila hizi figisu.🤓🤓
Japokuwa kuna baadhi ya familia mambo ni shwari upendo baina ya pande zote mbili upo wa kutosha.
Karibuni tubadilishane mawazo wanajamvi, wengi tunapitia hizi changamoto na zinaumiza Sana.
Katika uchunguzi wangu mdogo familia nyingi kabla ya kijana kuoa zinakuwaga na utulivu amani na upendo baina ya kijana, Mama wa kijana na (ma)dada wa Kijana.
Lakini baada ya kijana kuoa na kuanza maisha yake mapya ya ndoa, mahusiano haya hupukutika taratibu na mwisho kuishia kabisa au kubakia na upendo wa kinafki.
Unakuta mwanamke ameolewa na kijana Hana tatizo lolote na wakwe au mawifi zake tabia njema, ustaarabu, heshima utiii vyote anavyo, lakini muda unavyozidi kwenda kunakuwaga na chuki zisizo julikana hutokea wapi kutoka kwa mama wa kijana kwenda kwa mwali, au Dada wa Kijana kwenda kwa wifi yake huyo.
Hapa sijazungumzia upande wa mke mkorofi. Nimezungumzia upande wa mke mwenye utii, heshima,adabu na kila sifa impasayo kuwa nayo " wife material"
Vitaanza visa, mikasa, chuki uchonganishi wa ajabu ajabu hapo usiombe kijana awe ameoa halafu anakaa na mama yake Mzazi au dada nyumba moja.. Huyo mke Cha moto atakiona...
Najaribu kuwaza ni kwanini mama mkwe hajawahi kukubaliana na Hali ya kwamba kijana ameoa na ampende mwali wake upendo ule ule anaompa kijana wake.. maana kimsingi hawa wote ni watoto wake.
Hii chuki huenda mbali mpaka kwa watoto wa Kijana na watoto wa dada wa Kijana.. upendo wa Bibi Mara nyingi kwa hawa wajukuu zake Mara nyingi hauwezagi kuwa sawa lazima tunkwa kiasi fulan watoto wa dada wa Kijana watapendelewa zaidi..😔😔
Mwisho wa siku Kama kijana atashindwa kuwa na msimamo mkali na kuweka mipaka Kati ya pande hizi mbili (mama mkwe)mawifi na familia yake mpya) ndoa hii huvunjika kabisa.🤔🤔
Ni kwanini familia ya kijana inashindwa kabisa kumpokea binti anayeingia kwenye familia yao moja kwa moja bila hizi figisu.🤓🤓
Japokuwa kuna baadhi ya familia mambo ni shwari upendo baina ya pande zote mbili upo wa kutosha.
Karibuni tubadilishane mawazo wanajamvi, wengi tunapitia hizi changamoto na zinaumiza Sana.