kityentyee
Member
- Mar 9, 2021
- 72
- 338
Salaamuni wakuu.
Mahusiano yanapo vunjika either ya mke na mume au wapenzi tu wa kawaida walioshibana ikatokea sintofahamu baina yao hadi kupelekea kuachana je kati ya Me au Ke....
1: Nani huwa anaumia zaidi kuliko mwenzie?
2: Nani mwenye hasara zaidi kuliko mwenzie? (who is mostly at a loser side)
3: Nani huwa ana move on faster na kusahau ya nyuma kuliko mwenzie?
4; Nani huwa na msimamo thabiti wa kuachana kuliko mwenzie?
Mahusiano yanapo vunjika either ya mke na mume au wapenzi tu wa kawaida walioshibana ikatokea sintofahamu baina yao hadi kupelekea kuachana je kati ya Me au Ke....
1: Nani huwa anaumia zaidi kuliko mwenzie?
2: Nani mwenye hasara zaidi kuliko mwenzie? (who is mostly at a loser side)
3: Nani huwa ana move on faster na kusahau ya nyuma kuliko mwenzie?
4; Nani huwa na msimamo thabiti wa kuachana kuliko mwenzie?