Mimi siko tayari kuwa miongoni mwa watakaosema "I am sorry Magufuli"

Amani Msumari

JF-Expert Member
Aug 21, 2016
1,830
976
Waungwana, na ijulikane leo kuwa mimi binafsi nimekataa kuwa sehemu ya Watanzania watakaosema tusamehe Magufuli, hatukujua kuwa wewe ni mtu muhimu kwetu Watanzania.

Anyway, hivi mnakumbuka hali ilikuwaje kipindi cha Kikwete? Wengi wa wapiga ramli walifikia mpaka hatua ya kutabiri kuwa CCM itamfia Kikwete mikononi mwake. Nadhani pia hamjasahau lawama za ugumu wa maisha zilizokuwa zinamiminwa kwa hayati Rais Mkapa.

Leo hii wapinzani wanawasifu Mkapa na Kikwete kwa sifa ambazo hawakuwahi kuwapa kipindi wanatawala. Waliwalaumu sana na kelele zilikuwa nyingi mno. Wapo waliosema I am sorry Mkapa, I am sorry Kikwete. Leo hii viongozi hawa wanaonekana ni mashujaa.

Tuache mambo mengi aliyoyafanya Magufuli ambayo yanaongelewa sana, hebu tuseme haya machache ambayo hayasemwi sana lakini yenye umuhimu sana kwenye maisha ya kila siku ya Watanzania.

Serikali ya Magufuli imefanya jitihada kubwa kwenye kudhibiti mfumuko wa bei na kupunguza kodi ya mshahara (PAYE) kwa wafanyakazi. Mambo haya yanagusa maisha ya Watanzania moja kwa moja. Haya sio mambo madogo, ni makubwa mno.

Hebu kaa uchunguze bei za vitu mbalimbali tangu alipoingia Magufuli. Achana na hujuma za sukari, angalia nauli, bei za vifaa vya ujenzi n.k. Ikumbukwe kuwa kilio cha kutaka punguzo la Kodi mpaka kufika single digit kilikuwepo muda mrefu.

#2020 kura zote kwa John

Amani Msumari
Tanga
 
Waungwana, naijulikane leo kuwa mimi binafsi nimekataa kuwa sehemu ya Watanzania watakaosema tusamehe Magufuli, hatukujua kuwa wewe ni mtu muhimu kwetu Watanzania.

Anyway, hivi mnakumbuka hali ilikuwaje kipindi cha Kikwete? Wengi wa wapiga ramli walifikia mpaka hatua ya kutabiri kuwa CCM itamfia Kikwete mikononi mwake. Nadhani pia hamjasahau lawama za ugumu wa maisha zilizokuwa zinamiminwa kwa hayati Rais Mkapa.

Leo hii wapinzani wanawasifu Mkapa na Kikwete kwa sifa ambazo hawakuwahi kuwapa kipindi wanatawala. Waliwalaumu sana na kelele zilikuwa nyingi mno. Wapo waliosema I am sorry Mkapa, I am sorry Kikwete. Leo hii viongozi hawa wanaonekana ni mashujaa.

Tuache mambo mengi aliyoyafanya Magufuli ambayo yanaongelewa sana, hebu tuseme haya machache ambayo hayasemwi sana lakini yenye umuhimu sana kwenye maisha ya kila siku ya Watanzania.

Serikali ya Magufuli imefanya jitihada kubwa kwenye kudhibiti mfumuko wa bei na kupunguza kodi ya mshahara (PAYE) kwa wafanyakazi. Mambo haya yanagusa maisha ya Watanzania moja kwa moja. Haya sio mambo madogo, ni makubwa mno.

Hebu kaa uchunguze bei za vitu mbalimbali tangu alipoingia Magufuli. Achana na hujuma za sukari, angalia nauli, bei za vifaa vya ujenzi n.k. Ikumbukwe kuwa kilio cha kutaka punguzo la Kodi mpaka kufika single digit kilikuwepo muda mrefu.

#2020 kura zote kwa John

Amani Msumari
Tanga
Nilitaka kusema mbona hujaweka namba ya simu , lakini kwa vile Magufuli anapigwa chini 28/10 , namba yako itakuwa bure tu
 
Si hatuelewi na sitakaa kujuta kuwa jiwe alifanya mazuri ni uonezi na uovu wake sipendi twende na TAL
 
Sukari sh ngapi then and now?

Ngoja keshokutwa JPM aingie awamu ya pili ya uongozi wake tuone kama mikakati ya muda mrefu aliyo iweka itafanikiwa kupunguza bei ya sukari? Penye ukweli tukiri katika vitu vilivyoshindikana miaka hii 5 ni bei ya sukari.
 
Waungwana, naijulikane leo kuwa mimi binafsi nimekataa kuwa sehemu ya Watanzania watakaosema tusamehe Magufuli, hatukujua kuwa wewe ni mtu muhimu kwetu Watanzania.

Anyway, hivi mnakumbuka hali ilikuwaje kipindi cha Kikwete? Wengi wa wapiga ramli walifikia mpaka hatua ya kutabiri kuwa CCM itamfia Kikwete mikononi mwake. Nadhani pia hamjasahau lawama za ugumu wa maisha zilizokuwa zinamiminwa kwa hayati Rais Mkapa.

Leo hii wapinzani wanawasifu Mkapa na Kikwete kwa sifa ambazo hawakuwahi kuwapa kipindi wanatawala. Waliwalaumu sana na kelele zilikuwa nyingi mno. Wapo waliosema I am sorry Mkapa, I am sorry Kikwete. Leo hii viongozi hawa wanaonekana ni mashujaa.

Tuache mambo mengi aliyoyafanya Magufuli ambayo yanaongelewa sana, hebu tuseme haya machache ambayo hayasemwi sana lakini yenye umuhimu sana kwenye maisha ya kila siku ya Watanzania.

Serikali ya Magufuli imefanya jitihada kubwa kwenye kudhibiti mfumuko wa bei na kupunguza kodi ya mshahara (PAYE) kwa wafanyakazi. Mambo haya yanagusa maisha ya Watanzania moja kwa moja. Haya sio mambo madogo, ni makubwa mno.

Hebu kaa uchunguze bei za vitu mbalimbali tangu alipoingia Magufuli. Achana na hujuma za sukari, angalia nauli, bei za vifaa vya ujenzi n.k. Ikumbukwe kuwa kilio cha kutaka punguzo la Kodi mpaka kufika single digit kilikuwepo muda mrefu.

#2020 kura zote kwa John

Amani Msumari
Tanga
Mbona ajira huzungumzii. Jk alikuwa kila mwaka anaajiri walimu wote na madaktari wote waliomaliza mwaka huo labda we mwenyewe usitake ajira tu lakini zilijaa bwerere. Hili mbona unalikwepa ambapo ndo point yenyewe iliyosababisha ugumu wa maisha kwa wengi na kuona mabarabara ni takataka tu!
 
Mbona ajira huzungumzii. Jk alikuwa kila mwaka anaajiri walimu wote na madaktari wote waliomaliza mwaka huo labda we mwenyewe usitake ajira tu lakini zilijaa bwerere. Hili mbona unalikwepa ambapo ndo point yenyewe iliyosababisha ugumu wa maisha kwa wengi na kuona mabarabara ni takataka tu!
Kwa akili yako uliyoishirikisha halmashauri ya kichwa chako unaona inawezekana kila mwaka kuajiri wahitimu wote?
Ajira za walimu kwa wingi ulikuwa ni mpango maalumu wa kuboresha elimu ya msingi na sekondari
 
Kwa akili yako uliyoishirikisha halmashauri ya kichwa chako unaona inawezekana kila mwaka kuajiri wahitimu wote?
Ajira za walimu kwa wingi ulikuwa ni mpango maalumu wa kuboresha elimu ya msingi na sekondari
Ndo Mana vijana hawamtaki sasa jpm kwa sababu wanahisi jawajali kwa comparison hiyo kipindi Cha jk na jpm. Hakuna mbasala wa ajira yaani hakuna mbasala wa kufa
 
Back
Top Bottom