mimba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Meko Junior

    Jaribu kuwaza kama usingetoa ile mimba mtoto angekua na umri gani?

    Embu tuambizane, ndugu wajenzi wa nchi, maisha yanatunyoosha na sisi tunayanyoosha. Wengi tumepitia changamoto nyingi za maisha, wengi tumepitiwa kwenye mahusiano mengi sana, wengine wakapat mimba au kuwapa watu mimba na kuchukua maamuzi ya kuitoa. Embu jaribu kuwaza kama usingetoa ile mimba...
  2. Miss Zomboko

    Geita: Amsababishia mwenzake kifo wakati akimtoa mimba nyumbani

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita, linamshikilia Vestina Michael (44), mkazi wa Buseresere wilayani Chato kwa tuhuma za kumtoa mimba na kumsababisha kifo Mariam Msalaba (40), ambaye alipoteza maisha muda mfupi baada ya kutolewa mimba nyumbani kwa mtuhumiwa. Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita...
  3. Analogia Malenga

    Mbaroni kwa tuhuma za kuua akijaribu kutoa mimba

    JESHI la Polisi mkoani Kagera linamshikiria Frodius Protace ‘Gafseki’ (24) mkazi wa Kijiji cha Rushe wilayani Karagwe kwa tuhuma za kumuua Saraiya Idd (25) mkazi wa Kijiji cha Mabuye wilayani Misenyi wakati akijaribu kumtoa mimba ya miezi sita kwa malipo ya Sh 600,000. Kamanda wa Jeshi la...
  4. Research Solutions TZ

    Wasio na uwezo wa kushika au kutia mimba wanachangamoto nyingi maishani

    Bila shaka tunatambua ustawi wa jamii unaanzia kwenye ngazi ya familia, kwa hiyo ni jukumu la ustawi wa jamii kuwa na sera inayoyaangazia matatizo yote yanayoikumba ngazi ya familia ili kuiweka sawa Ngazi ya familia ina kitu wanaita TARAKA, ambaye sababu yake kuu kwa tafiti zilizopo ni mtu...
  5. Top gun maverick

    Niko njia panda, ushauri unahitajika

    Habari wapendwa natumai wote mko poa kiafya. Na mnaendelea na majukumu ya ujenzi wa taifa naenda straight to the point mimi ni mwanachuo wa chuo kikuu "X" hapa mkoani Dodoma naingia mwaka wa tatu, nilibahatika kumpata mwenza wa First Year wa chuo fulani cha Mipango. Sasa tumedumu takriban miezi...
  6. Rodriquz

    Je, Mwanamke anaweza kujifungua kwa njia ya kawaida iwapo mimba ya kwanza alijifungua kwa upasuaji?

    Napenda kufahamu kama mama mjamzito anaweza kujifungua kwa njia yakawaida baada ya mimba yakwanza kujifungua kwa upasuaji uliosababishwa na njia ndogo wakati wakujifungua
  7. Sam Gidori

    Sudan Kusini kufungua shule kuanzia leo, mimba kwa wanafunzi zaongezeka

    Baada ya miezi 6 ya kukaa majumbani, wanafunzi nchini Sudan Kusini wanarejea darasani kuanzia Jumatatu, Waziri wa Habari wa nchi hiyo amesema. Hatua hiyo ya Sudan Kusini inafuatia uamuzi wa Baraza la Mawaziri kuondoa katazo lililowekwa mwezi Machi na Rais Salva Kiir la kufunga shughuli zote za...
  8. Miss Zomboko

    Rukwa: Mume amnyonga na kumkata na shoka mkewe kwa tuhuma za kutoa mimba yake bila ruhusa

    POLISI mkoani Rukwa wanamtafuta kijana mkazi wa mtaa wa Kanisa Katoliki Manispaa ya Sumbawanga, Joseph Kalolo ‘Mwamba’ (35) kwa tuhuma za kumnyonga mkewe na kuutenganisha mwili sehemu mbili kwa shoka. Inadaiwa kuwa baada ya ‘Mwamba’ kumuua Maria Kaozya (30), alimchukua mtoto wao akamkabidhi kwa...
  9. B

    Huduma ya kupandikiza mimba Muhimbili

    Wapendwa poleni na majukumu. Naomba kuuliza kwa anaefahamu kama Muhimbili wameshaanza huduma ya kupandikiza mimba na gharama. Naomben kufahamu.
  10. Ufipa-Kinondoni

    Mwambie Zitto Kabwe anachofanya ni kutoa mimba kabla ya mtoto kuzaliwa

    Nasema ingawa najua wengi hawapendi kusikia hasa kwa vile hawana maeneo ya kukimbilia. Anachofanya ZZK, Zitto ni sawa na kuhalalisha utoaji wa mimba katika chama chake. Wakongwe wameshindwa anachofanya kwa sasa. Chadema wamefanya wakagundua kuwa ina shida. Mwaka huu wameelewa nini maana ya...
  11. GENTAMYCINE

    Mimba za Utotoni kwa Watoto wa Kike Mkoani Ruvuma ni kama vile Israeli na Roho ya Binadamu!

    Jumla ya wazazi 35 wakazi wa Kata ya Nalasi katika Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma, wamekamatwa na polisi kwa tuhuma za kuwafungia watoto wa kike chini ya miaka minane huku wakiwafundisha mbinu za kuishi na wanaume maarufu kama “Msondo” mila ambayo imekuwa ndiyo chanzo kikubwa cha mimba za...
  12. DissDotCom

    Tuwape mimba Wachumba zetu jamani

    Habari za muda mrefu wakuu wakazi. Leo ningependa kushare jambo moja muhimu hasa kwa wanaume wenzangu, unajua kumbe sisi vijana wakiume tunapochelewa kuoa au kupata watoto huwa inawakwaza sana wazazi wetu. Hii imenitokea mimi binafsi na nimeshuhudia, kwanza nilipanga nisizae nje hadi nifunge...
  13. Yoyo Zhou

    Mimba za utotoni: Nani wa kulaumiwa?

    Mlipuko wa virusi vya Corona unaoshuhudiwaduniani kote umeleta athari kubwa katikauchumi na maisha ya watu, kwani biasharazimefungwa, shule zimefungwa, na waajiriwawengi wanafanya kazi majumbani, huku wale ambao kwa bahati mbaya iliwalazimu kutoka ilikupata pesa za kulisha familia wakiwa...
  14. Nyanswe Nsame

    Katika kipindi cha likizo ya COVID 19 Wanafunzi 101 Shinyanga wapata mimba

    "Katika kipindi cha likizo ya COVID 19 Wanafunzi 101 Shinyanga wapata mimba" WANAFUNZI 101 mkoani Shinyanga wamepata ujauzito katika kipindi cha mwezi mmoja, kuanzia Machi hadi Aprili Mwaka huu. Wanafunzi hao wamepata ujauzito huo katika kipindi cha likizo ya kujikinga na maambukizi ya homa...
  15. Nyanswe Nsame

    Mimba za utotoni Misungwi zaongezeka

    Mimba za utotoni Misungwi zaongezeka IMEBAINIKA kuwa wilaya ya Misungwi katika kipindi cha miezi mitatu ya Januari hadi Machi mwaka huu kiwango cha wanafunzi na watoto wadogo kupata ujauzito imeongezeka. Katika kipindi cha miezi mitatu, wilaya hiyo jumla ya wanafunzi na watoto wadogo wamepata...
  16. britanicca

    Kipi bora kuoa mwanamke mwenye mtoto au Mwanamke alotoa mimba?

    Nauliza kipi bora hasa Unakuta mwanamke mwenye mtoto watu wanamkimbia bila kujua faida zake Ni Bora ambaye Ana mtoto maana kuna muda anakupa matumain kuwa hujaoa mgumba au akizaa watoto awafi Unamkuta dada mdogo, hajawahi kuzaa, hajaolewa, lakini anatumia uzazi wa mpango. Hapo hapo kashatoa...
  17. Prodigy Oligarchy

    Naomba ufafanuzi: Je, kwa hali hii aliyonayo huyu binti je inawezekana kwamba alitoa mimba?

    Salaam, Tuzidi kuchukua tahadhari dhidi ya Covid-19 , maana ipo na ni hatari. Naomba niingie moja kwa moja katika mada husika; Ni hivi, kuna ndugu yupo mkoa fulani ndani ya Tanzania. Ndugu huyu anamtoto mmoja tu, ambaye ni wa kike. Umri wa msichana wake, ni chini ya miaka 22, lakini...
  18. EINSTEIN112

    Kwanini wadada hata mkiwa na ujauzito mchanga kabisa mnatundika mitandio begani?

    Yaani hata ukute mdada ana mimba ya wiki mbili, yaani haionekani kabisaaa utakuta mtu anatundika Mtandio begani anafunika tumbo, mi nikiona mdada kafanya hivyo najua kabisa mzigo tayari. Mnafanya hivi kwa kuwa mnaona aibu?, au kutujuza mabaharia tusiwasumbue, kwamba kuna baharia alishawahi? au...
  19. Analogia Malenga

    Asiyejulikana amjaza mlemavu mimba 6

    SERIKALI mkoani Mbeya imeombwa kuingilia kati sakata la binti mwenye ulemavu wa akili anayepewa mimba mfululizo na mtu asiyejulikana. Hadi sasa amezalishwa watoto watano pasipo baba yao kujulikana na sasa ni mjamzito tena. Wananchi wameomba Serikali imtafute mwanaume anayempa mimba binti huyo...
  20. Elitwege

    Mshituko: Rafiki yangu tuliyeshibana unamuoaje Dada yangu?

    Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa. Baba yangu alikuwa anamlipia...
Back
Top Bottom