mimba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wiwachu

    Kuwa mkweli, wewe huwa unatumia condom?

    Wakuu, Nijielekeze moja kwa moja kwenye mada tuambiene ukweli. Hivi wewe huwa unatumia condom? Kama ndio ni kwanini na kama sio ni kwanini? Mimi situmii kwa kuwa huwa zinaniwasha, halafu nikitumia huwa naona kama nimeibiwa pesa zangu yaani naona kama nimefanya condom na sio mwanamke. Wewe...
  2. shonkoso

    Njia gani sahihi za kuzuia mimba mara baada tu ya kujamiana?

    Je, imetokea kwa bahati mbaya umetegeka na mwanafunzi na ukamwaga ndani? Au umemwagia dada ambae unahisi huwezi kuzaa nae au hauko tayari, vivyo hivyo kwa mwanamke umetembea na mwanaume usingependa uzae nae au hauko tayari kuzaa nae. Embu tusubiri wataalamu watupe majibu, mwenyewe sijui.
  3. Bujibuji Simba Nyamaume

    Je, Dawa za Minyoo zinatoa mimba?

    Wandugu wapendwa, Poleni sana na kazi za ujenzi wa taifa na kujitafutia mkate wa kila siku. Ninaishi na girl friend wangu ambaye siku ni mfanyakazi wa kampuni moja ya bima hapa DSM. Wiki iliyopita aliniambia kuwa amepata ujauzito na anahisi una umri wa mwezi mmoja. binafsi nilifurahishwa...
Back
Top Bottom