MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,426
Swali dogo tu,
Eti mimba iliyoingia terehe 4 mwezi mpaka terehe 18 mwezi huu inaweza kuonesha dalili zozote kama kichefuchefu au kutapika? Je, ujauzito unaweza kupimwa wakati huu?
Kuna dogo ameniuliza haya maswali sasa hivi, msaidieni.
Natanguliza shukrani.
Eti mimba iliyoingia terehe 4 mwezi mpaka terehe 18 mwezi huu inaweza kuonesha dalili zozote kama kichefuchefu au kutapika? Je, ujauzito unaweza kupimwa wakati huu?
Kuna dogo ameniuliza haya maswali sasa hivi, msaidieni.
Natanguliza shukrani.