Npo seat ya mbele naskiliza redio ya wanasheria.Kama kichwa cha habari kinavyouliza je Wanafunzi kwa Wanafunzi Wakipeana Mimba je kwa upande wa Sheria upoje Maana kuna Mwanafunzi wa Darsa la Tano kapewa Mimba na Mwanafunzi wa Form Four huko Wilaya ya Ulanga halafu hakuna kilichojili.
Huyo jamaa bdo yupo jela?Juzi kati kuna mdada alitubu kwamba alimsingizia kubakwa na kijana aliyekuwa mwanafunzi kidato cha nne, huku yeye akiwa cha pili. Kijana alipigwa mvua miaka 60 jela
Huyo jamaa bdo yupo jela?
Hili n funzo kuwa usisubutu kumtongoza mwanafunzi, utaozea jelaaa😆😆Juzi kati kuna mdada alitubu kwamba alimsingizia kubakwa na kijana aliyekuwa mwanafunzi kidato cha nne, huku yeye akiwa cha pili. Kijana alipigwa mvua miaka 60 jela