Ilionekana hivyo katika hukumu ya Jaji Siyani.
Imeonekana hivyo TBC Habari jana 20:00 ambapo maelezo ya Kingai yalisomwa kama vile ni ungamo alilofanya Mh. Mbowe mahakamani Jana.
Magazeti nayo ni kama lilivyo hapo.
Kingai huyu huyu?
1. Aliyekuja na watuhumiwa kutokea Moshi - Msata -...
Kwa sababu ni makomandoo huenda wangeweza.
Nakuuliza hivi,
Wangetumia mapanga ya kawaida au mapanga maalumu?
Au wangetumia mashine za kukatia miti?
Je, Mabwana misitu wangewaacha tu?
Au wangekuwa wanakata huku wamevalia mavazi ya mabakamabaka kw a hiyo mabwanaisitu wangewaogopa?
Je, Wangekua...
Tayari baadhi ya Wadau wa Maendeleo, akiwemo Mwakilishi wa Ubalozi wa Canada wamewasili Mahakamani.
Hadi saa 3:30 asubuhi hii Watuhumiwa walikuwa bado hawajaletwa Mahakamani.
====
Hatimaye Mbowe na wenzake wameletwa Mahakamani
Jaji Joachim Tiganga ameingia Mahakamani
Wakili wa serikali...
Kiukweli hata kwenye mafundisho ya dini tunaambiwa mchunga mwema wa kondoo hutangulia mbele ya kundi na kuwapa ishara kondoo kila kitu kibaya kinapokuja.
Hayati Magufuli na mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe ni mfano mzuri wa wachungaji WEMA ambao wamekuwa tayari kutaabika na kunenewa kila lililo...
Kama Mbowe angekuwa nje huo Moto wa Katiba Ungekuwa mkubwa sana na sijui nani angeuzima.
Mbowe ndie kiongozi pekee anayeweza kuubeba upinzani. Kwanza anabusara, Anaweza kuvumilia wanachama wake wanaokosea. Alishamtetea Zitto Mara kaadhaa.
Kuongoza upinzani Afrika na ukasimama ni zaidi ya kuwa...
WAAFRIKA wamezaliwa na roho ya ajabu sana, wamezaliwa na roho yakuumizwa na mafanikio yako Hadi kufikia mahali kutumia fedha au madaraka kukukandamiza.
Kitendo cha viongozi wa dini kusimama na kutamka adharani kwamba Mbowe yupo mahabusu kinyume Cha sheria kwa kesi za kubumba kinawaumiza Sana...
Hata baadhi ya watu wakitaka kutunyamazisha basi mawe yataongea.
Wasanii wametoa wimbo wa Mbowe siyo Gaidi.
Wacha tuusikilize ndugu wazaleeendo wenzetu.
Msomi Nguli Mwalimu Lwaitama amefunguka yenye kujenga, kwake Mheshimiwa Rais:
Yawezekana kuganga yajayo kwani yaliyopita si ndwele.
Hoja ya Mwalimu Lwaitama ina mashiko.
Hoja ya Mwalimu Lwaitama ni yenye kuzingatia katiba ya sasa na hasa uwepo wa ule mhimili uliojichimbia zaidi.
Habari za...
Ukiijua kweli itakuweka huru. Nduguzangu hii ni ngumu kumeza ila ipo katika politiko sayansi nimeona si vyema kuficha ngoja tuelimishane japo kidogo. Nikisema sayansi ninamaana ni uchunguzi wa kimaabara kupata ukweli, iko hivi Mbowe alijenga nguvu ya umma bila huo umma kuupa hiyo nguvu. Nini...
Leo Jumamosi Okt. 23, 2021 Jeshi la Magereza limewazuia watu wote waliokwenda Gereza la Ukonga kumwona Mhe. Freeman Mbowe kwa kile walichodai kuwa wamepokea maelekezo Ila hawasemi yametoka kwa nani. Ikumbukwe kuwa ni siku rasmi ya kutembelea Mahabusu na Wafungwa.
Askari Magereza walitoa agizo...
Unanishawishi vipi ili niweze kuamini kua Mbowe ni gaidi?
1.Aliwahi kulipua wapi na kwa ushahidi upi?
2.Alishawahi kushtakiwa kwa kuua nani nani?
3.Alishawahi kushtakiwa hata kwa kesi ya kupiga mtu kofi?
4.Alishawahi hata kuiba mali ya mtu?
5.Alishawahi kushtakiwa hata kwa kumtukana mtu?
Kama...
Nawasalimu wote kila mmoja kwa imani yake wana JF.
Nalazimika kuandika machache Ili nifikishe ujumbe tu.
Kichwa cha habari kinajieleza sana, nini namanisha hapa
Mh Mbowe ni Mwenyekiti wa chama cha Chadema Tz, anakabiliwa na mashitaka ya UGAIDI, maana nyingine wapenzi, wanachama wote...
Jaji Mustapha Siyani katishwa akatishika na kuamua kuisigina haki hadharani mchana kweupe....
Amejitoa kuisikiliza kesi hii kwa maumivu makali katika nafsi yake kwa kuisigina haki mchana kweupe akidhani kwa kuwa yeye ni JAJI, wengine wote ni "wajinga" hatutaona upuuzi wake. Amekosea sana...
Huku sasa kwa wanaCHADEMA ni kupaniki na hii ni baada ya Caution statement za mmoja wa watuhumiwa wenzake na Mbowe kupokelewa kama ushahidi mahakamani.
Kwa nini Mnyika J, anasahau na kutoa kauli za ajabu ambazo hazina mashiko? Kesi ipo mahakamani na rais hana mamlaka ya kuingilia muhimili wa...
Akiongea kupitia MariaSpaces, Godbless Lema amesema:
"Nafikiri niko tayari kurudi nyumbani. Nafikiri natakiwa kuwa on the ground kuliko wakati wowote.Nafikiri natakiwa kumuona Mwenyekiti jela au mahakamani kumtia nguvu..Nafikiri I am ready now, I am ready for any consequences."
My opinion...
Huyu Mbowe huyu mtu asiyejua kutukana mtu, Mbowe ambaye hajawahi kumdhalilisha mtu, kuna mtu mstaarabu kama Mbowe hapa Tz
Mshawahi muona Mbowe akimtukana au kumchafua mtu?Mshawahi kumuona Mbowe akijikweza japo katokea familia ya kishua?
Mbowe ni gaidi? Haimake sense kabisa, Mbowe ana ugaidi...
Haki haijawahi kujificha.
Jaji Siyani kwa kujiridhisha kuwa:
1. Mshitakiwa wa pili alikamatwa akawasaidia polisi kumtafuta Mosses Lijenje Moshi, Boma Ng'ombe hadi Arusha,
2. Njiani wakapata mishikaki na Mo Energy,
3. Mshitakiwa wa pili akatoa maelezo kwa ridhaa yake ndani ya masaa 4...
Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, leo Jumatano Oktoba 20, 2021 inatarajiwa kutoa uamuzi katika kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu.
Uamuzi huo ambao utatolewa na Jaji Mustapha Siyani (Jaji Kiongozi...
The trial
Finally,
The judge will take his place
And the accused,
The complainant
And the onlookers:
All will know where to be - and
Justice will be meted out
Even before the trial.
Hii ni kauli aliyoitoa Mbowe zaidi ya mwaka mmoja uliopita dhidi ya Sabaya na washirika wake. Mbowe aliitoa kauli hii kwa ujasiri mkubwa na hadharani wakati huo Sabaya akiwa mkuu wa wilaya ya Hai chini ya utawala wa Rais Magufuli.
"....Siko tayari kumjadili Sabaya, mtoto mpotevu, mhuni, mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.