Kesi imehamisha attention mambo kibao.....tunaingia hatua tamu zaidiii....katika kudai haki pia katiba mpya imo ndani humo humo...Vipi kwani Lijenje yuko wapi? Ametajwa sana na mashahidi lakini hatumuoni akishitakiwa na wenzake.
Sent using Jamii Forums mobile app
BoraKesi imehamisha attention mambo kibao.....tunaingia hatua tamu zaidiii....katika kudai haki pia katiba mpya imo ndani humo humo...
Kwenye kesi ya Dumisani Dube Vs Republic, kwa kifo cha Skoine kwa ajali ya gari kule Morogoro, kesi ilikuwa hivi:Mkuu the Big Eagle , kwanza asante kwa kutukumbusha "Mwandishi Huyu wa 1980s", kitendo cha kutomtaja ni mwandishi gani, wa wapi na maneno hayo aliyaandika wapi, sio tuu unakuwa hujawatendea haki wasomaji, bali unakuwa hukitendei haki, chombo chetu cha utoaji haki kwa ku insinuate kuwa uamuzi umeisha fanyika hivyo hii kesi ni kesi tuu ya kuuhalalisha, kitu ambacho sio kizuri.
P
Mkuu Interested Observer , kwanza asante kwa kumbukumbu hii ya Dumisani Dube, japo kumbukumbu yangu inaniambia kifungo ni miaka 6 na sio miaka 5. Sheria zinaruhusu mkimbizi kutumikia kifungo chake kwenye jela ya nchi nyingine yoyote, hivyo Dumisani Dube, alichagua UK.We fought JK, then Magu, now Samia; but we forget that these also are victims of the system, the system which they can manipulate to their advantages, WE have to fight CCM - The System providers
Mkuu denooJ , hiki ndicho kinachokwenda kutokea Mama hapendi hizi mambo, ushahidi utakataliwa kesi itafutwa, ila karma ya wahusika wote haitafutika bali itakula kichwa!.Endapo yatakataliwa na mahakama, upande wa washtakiwa watakuwa kwenye nafasi nzuri ya kushinda kesi siku ya mwisho, hili litasababishwa na upande wa jamhuri kupoteza moja ya ushahidi wao muhimu kwenye kesi husika.
Hairuhusiwi popote, kinachoruhusiwa ni mtuhumiwa kumkataa jaji yoyote akijihisi hana imani naye na hata tendewa haki. Jaji atabadilishwa ila sio mtuhumiwa kuchagua aje nani.inashangaza sana kuona mtuhumiwa anachagua jaji anayemtaka asikilize kesi yake!!
je inaruhusiwa kisheria kwa mtuhumiwa kuchagua Jaji anayemtaka ili asikilize kesi yake?
Mkuu pascal, kwa hiyo hapo unatuambia kuwa mama naye ana seat yake kwenye maamuzi ya kesi hii?Mkuu denooJ , hiki ndicho kinachokwenda kutokea Mama hapendi hizi mambo, ushahidi utakataliwa kesi itafutwa, ila karma ya wahusika wote haitafutika bali itakula kichwa!.
P