Watu wazuiwa kumuona Freeman Mbowe gereza la Ukonga, Magereza wadai kupokea maelekezo

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,650
218,121
Leo Jumamosi Okt. 23, 2021 Jeshi la Magereza limewazuia watu wote waliokwenda Gereza la Ukonga kumwona Mhe. Freeman Mbowe kwa kile walichodai kuwa wamepokea maelekezo Ila hawasemi yametoka kwa nani. Ikumbukwe kuwa ni siku rasmi ya kutembelea Mahabusu na Wafungwa.

Askari Magereza walitoa agizo kwa watu waliofika Gereza la Ukonga kuwaona Mahabusu na Wafungwa kusubiri nje ya gereza mpaka utaratibu utakapokamilika. Wakati wakisubiri utaratibu magari ya Polisi yaliwasili na kuwakata kutawanyika, Jeshi hilo lilidai ni mkusanyiko usio halali.

Baada ya kauli ya Jeshi la Polisi, watu walichukua hatua ya kuingia ndani ya geti la gereza na kufuata utaratibu wa kujiandikisha ili kumwona mwenyekiti. Askari magereza waliwatenga wote waliokuja kumwona Mhe. Freeman Mbowe na kuwambiwa wanatakiwa kuwa na kibali cha kumwona.

Ukonga.JPG
 
MBOWE NDI
Baada ya Mallya kufungwa jela akatolewa haraka kwa msamaha wa Rais
YO ENGINEER WA MSALA WA WANGWE NA SAFARI HII ATASEMA UKWELI TU NGOJA KESI IENDELEE NA WAKILI WENU ANAYEJIFANYA MSOMI ANAYEULIZA MASWALI YA KIJINGA ETI WALIKAMATWA WANAKUNYWA SUPU/ AU WANATEMBEA AKAONA NI UTETEZI WA KUMTOA MT KWENYE HATIA CHALIIIIIIII
 
Hao wanaoenda gerezani ni magaidi wenzake, wanaweza kufanye jaribio LA ugaidi kumuokoa mwenzao
Hahahaha ,kwanini Watanzania tumefikia hatua ya kuitana magaidi lakini ??sisi sote ni ndugu hakuna gaidi ,,,kama yupo vyombo vyetu vya usalama viko imara .....watashughulika naye ..acheni chuki hazijengi zinabomoa umoja kitaifa ..............
 
Back
Top Bottom