William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Kama Mbowe angekuwa nje huo Moto wa Katiba Ungekuwa mkubwa sana na sijui nani angeuzima.
Mbowe ndie kiongozi pekee anayeweza kuubeba upinzani. Kwanza anabusara, Anaweza kuvumilia wanachama wake wanaokosea. Alishamtetea Zitto Mara kaadhaa.
Kuongoza upinzani Afrika na ukasimama ni zaidi ya kuwa Raisi. Unaongoza wasaliti, Viburi na wakosoaji haswa. Ukiteleza kidogo wanakumwaga. Muulize Mrema, Jemsi Mapalala, Sheif Sharif au Mabele Malando. Utawala uliopita ulikosea kutaka kuufuta upinzani wakati kiongozi wao yupo nje.
Hii ni hatua muhimu.
Mbowe ndie kiongozi pekee anayeweza kuubeba upinzani. Kwanza anabusara, Anaweza kuvumilia wanachama wake wanaokosea. Alishamtetea Zitto Mara kaadhaa.
Kuongoza upinzani Afrika na ukasimama ni zaidi ya kuwa Raisi. Unaongoza wasaliti, Viburi na wakosoaji haswa. Ukiteleza kidogo wanakumwaga. Muulize Mrema, Jemsi Mapalala, Sheif Sharif au Mabele Malando. Utawala uliopita ulikosea kutaka kuufuta upinzani wakati kiongozi wao yupo nje.
Hii ni hatua muhimu.