Ilionekana hivyo katika hukumu ya Jaji Siyani.
Imeonekana hivyo TBC Habari jana 20:00 ambapo maelezo ya Kingai yalisomwa kama vile ni ungamo alilofanya Mh. Mbowe mahakamani Jana.
Magazeti nayo ni kama lilivyo hapo.
Kingai huyu huyu?
1. Aliyekuja na watuhumiwa kutokea Moshi - Msata - Bagamoyo --> Central Polisi kwa madai yake, akivipita Vituo vya polisi Mbweni na Oysterbay Kinondoni hadi Ilala?
2. Aliyeilekeza hati ya mashtaka kuonyesha njama ilianza May 2020 kwa ushahidi wa mshitakiwa wa 2, huku pia mwenyewe akikiri kuwa, mshitakiwa huyo hakujua lolote kuhusu njama hizo kabla ya 27/7/2020?
3. Aliyekamata washitakiwa wa kudhuru watu na ugaidi bila kuzitaarifu mamlaka zozote kama: polisi Hai, polisi Kilimanjaro, kamati za ulinzi na usalama Hai au Kilimanjaro wala kuwataarifu lolote ambao walikuwa walengwa binafsi?
4. Aliyedai kuwakamata watuhumiwa bila kuwa na chochote cha kufanyia tuhuma anazo washitaki nazo?
5. Aliyedai uwepo wa malipo ya kufanyia ugaidi ambayo hakuweza kuyaonyesha?
6. Aliyedai Khalfan Bwire aliwekwa mahabusu Chang'ombe Temeke kulikokuwa ni karibu na alipokamatiwa, hali tena akidai alikwenda na Adamoo tokea Moshi hadi Central Dar?
Ushahidi wenye mashaka unapotumika kwenye vyombo vya habari na kwenye kutolea maamuzi.
Labda kama ni kutufananisha sote na wale Mazuzu.
Imeonekana hivyo TBC Habari jana 20:00 ambapo maelezo ya Kingai yalisomwa kama vile ni ungamo alilofanya Mh. Mbowe mahakamani Jana.
Magazeti nayo ni kama lilivyo hapo.
Kingai huyu huyu?
1. Aliyekuja na watuhumiwa kutokea Moshi - Msata - Bagamoyo --> Central Polisi kwa madai yake, akivipita Vituo vya polisi Mbweni na Oysterbay Kinondoni hadi Ilala?
2. Aliyeilekeza hati ya mashtaka kuonyesha njama ilianza May 2020 kwa ushahidi wa mshitakiwa wa 2, huku pia mwenyewe akikiri kuwa, mshitakiwa huyo hakujua lolote kuhusu njama hizo kabla ya 27/7/2020?
3. Aliyekamata washitakiwa wa kudhuru watu na ugaidi bila kuzitaarifu mamlaka zozote kama: polisi Hai, polisi Kilimanjaro, kamati za ulinzi na usalama Hai au Kilimanjaro wala kuwataarifu lolote ambao walikuwa walengwa binafsi?
4. Aliyedai kuwakamata watuhumiwa bila kuwa na chochote cha kufanyia tuhuma anazo washitaki nazo?
5. Aliyedai uwepo wa malipo ya kufanyia ugaidi ambayo hakuweza kuyaonyesha?
6. Aliyedai Khalfan Bwire aliwekwa mahabusu Chang'ombe Temeke kulikokuwa ni karibu na alipokamatiwa, hali tena akidai alikwenda na Adamoo tokea Moshi hadi Central Dar?
Ushahidi wenye mashaka unapotumika kwenye vyombo vya habari na kwenye kutolea maamuzi.
Labda kama ni kutufananisha sote na wale Mazuzu.