maumivu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania Maumivu ya upande wa kushoto wakati wa kula

    Habari Siku mbili hizi nimejihisi ninapata maumivu chini ya kabla ya kumalizika kwa mbavu upande wa kushoto wakati wa kula tuu maumivu sio makali kawaida tuu. Kabla ya kwenda kufanya vipimo naomba kujua kama kuna mtu anafahamu tazizo hili. Asanteni sana
  2. Jonas hemed

    JamiiForums Tanzania Maumivu ya kutendwa yanaweza mfanya mtu asipende tena?

    FIRST BREAKUP IN RELATIONSHIP MAKES FOREVER PAIN
  3. mpndz

    JamiiForums Tanzania Mgonjwa wangu anapata maumivu ya bega kwa miezi 3

    Habar wana jf na wataalam wa afya kwa ujumla. Nina mgonjwa kwa miezi 3 amekuwa akigugumia maumivu bega la upande wa kulia. Naomba ushauri wenu please kwani nimejaribu sana kumpa mazoezi ya kawaida na massage lakin juhudi hazijazaa matunda
  4. D

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa dawa ya jino ninapata maumivu Makali

    Linatikiska kwa Mbali na Daktari kasema haling'oleki.
  5. Chikumba one

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya Dola havipaswi kuwa sehemu ya Maumivu ya Taifa

    Kesi ya Mdude inaonyesha namna mtawala aliyetangulia alivyotumia vibaya vyombo ya Dola kupambana na Wapinzani WAKE. Ndio, ni Wapinzani WAKE, sio Wapinzani wa Nchi. Hawa wote wanaoonekana hawana hatia leo bila shaka yoyote waliteswa kwa maelekezo yake. Ni bahati mbaya sana mtu aliyewatesa...
  6. Mumlii

    JamiiForums Tanzania Mkusanyiko wa maziwa inaeza ikaleta maumivu?

    Habari wana jf, Tokea jana titi la kushoto kuna kama kakitu kagumu nikibonyeza panauma hatari, nlijua labda maziwa yamekua mengi nikanyonyesha mtoto sku nzima naona tu maumivu sana. Hadi sasa hivi je ni nini hichi maana dah maumivu nanyonyesha chuchu haiumi.
  7. Determinantor

    JamiiForums Tanzania Baada ya Maumivu kuwazidi "MATAGA" waamua kuomba "backup"

    Mama kawaumiza sana Vijana wa CCM, hili wala halina ubishi wala haliwezi kuwa mada ila cha kusikitisha ni mambo wanayoyafanya hao MATAGA ni ujinga mtupu. Moja, wameamua kujitoa kwenye makundi yao ya WhatsApp ili kuonyesha kutoridhika baada ya kukitumikia chama hasa kwa kumtusi Mheshimiwa Mbowe...
  8. Kibosho1

    JamiiForums Tanzania Maumivu ya bajeti ya 2021 yako hapa kwa wananchi wa kawaida

    (i) Kutoza tozo ya shillingi 10 hadi shilingi 10,000 katika kila muamala wa kutuma au kutoa pesa. Kiasi cha tozo kinatofautiana kulingana na thamani ya muamala wa fedha unaotumwa au kutolewa. Pendekezo hili litaongeza mapato ya Serikali kiasi cha shillingi milioni 1,254,406.14; na (ii) Kutoza...
  9. JaphetJacob

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeachwa, naumia sana. Nifanyaje?

    Jamani nimeachwa na mpenzi wangu (girlfriend) ni takriban miezi miwili imepita. Naumia sana maana nilijitahidi kumtunza lakini ameniacha. Nina maumivu makali sana mpaka shughuli nyingine sifanyi kwa ufanisi naombeni ushauri, ni kama nimelose hope. Napmba ushauri.
  10. Chagu wa Malunde

    JamiiForums Tanzania Hili sio Bunge bali ni 'genge la watafuna kodi za wananchi'

    Kama wananchi maskini na wasio uhakika wa maisha yao wanakamuliwa kodi zao kisha zinatumika kulipa wabunge wa namna hii basi ni maumivu makubwa kwao Kwamba bunge ambalo ni sehemu ya wanannchi ambao lilituma wawawakilishi wao alafu hao wawakilishi wanaenda Bungeni kama wamevaa nguo za disko na...
  11. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

    Baada ya mimi kurudi home siku ambayo wife hakutarajia ntarudi ,sikumkuta nyumbani na nilipompigia simu yy alijibu yupo home anaangalia tamthilia. Nimekaa kuanzia saa moja usiku mpka saa sita usiku ndio anatokea, Alipatwa na kama bumbuwaz hiv hakuamin km nipo home nilimnasa vibao akadondoka...
  12. EMMANUEL JASIRI

    JamiiForums Tanzania Kama umewahi kupona maumivu ya misuli, mishipa, magoti na kiuno kwa njia asilia, naomba msaada

    Tafadhali naomba unijuze Ili kupona ulitumia mimea ipi Kwa kiasi kipi Na matokeo ya kupona hilo tatizo yalitokea ndani ya siku ngapi? Na huo mmea unapatikana mkoa upi,wilaya ipi,au maeneo yepi?
  13. MR.NOMA

    JamiiForums Tanzania Msichana wa 36 anasumbuliwa sana na Maumivu ya Kiuno. Afanye nini?

    Wakuu kwema? Tunaomba msaada wa kitabibu/ ushauri ili huyu mwanamke apone. It's more than 5 years ila saiz hali ndio inazidi kuwa mbaya Zaidi, huyu ni binamu yangu analalamika kuumwa na kiuno na sehem ya chini ya mgongo. Ameenda hospital wanamwambia tatizo hilo limesababishwa na uzazi na kuanza...
  14. Mtu Kwao

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna maumivu ya kuachwa, lakini pia kuna maumivu ya kuachwa bila kula tunda

    Wakuu salam! Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Kiukweli unapoachwa na mtu uliekuwa unampenda sana maumivu yake ni makali mnoo. Lakini pia kuna maumivu yale umeachwa halafu hukuwahi kula tunda na ulikuwa unahudumia kila kitu. Ila kwenye swala la kula tunda bado ulikuwa unazungushwa mpaka...
  15. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania SUA: Panya wanaweza kutumika kubaini Corona na kupunguza gharama na maumivu

    Baada ya mafanikkio makubwa ya utafiti wa matumizi ya Panya kwenye kutambua mabomu na vimelea vya kifua kikuu na mambo mengine, Watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha kilimo SUA wanasema kuna uwezekano mkubwa wa Panya hao kutumika kwenye kutambua maambukizi ya virusi vya Corona...
  16. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake mna la kujifunza kutoka Taarifa ya TFF. Kuahirisha miadi ya mapenzi Wanaume hupata maumivu mara mbili

    Miadi ni saikolojia. Hizi ni kanuni za mahaba ingawa hazijaandikwa kama za TFF Wanawake mjifunze kutoka kwenye taarifa ya TFF! Mwanaume unapompa miadi kila kitu hufanya kwa kuzingatia appointment! Wapo wanaokula vizuri ili kujiweka sawa Wapo wanaopiga mazoezi kujiweka sawa Wapo wanandoa...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Maumivu mwilini

    Nahisi maumivu Kama ya kung'atwang'atwa mwilini. Sababu ni Nini????? Naomba kufahamu waungwana........!!!!
  18. Morg

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushuhuda: Manukato/perfume yasababisha niachwe na mwanamke aliyenipenda

    Habarini za asubuhi bandugu zanguni hapa katika jukwaa poleni na mvua za Jana haswa maeneo ya jiji la Dar es salaam twende kwenye mada. Jana ndio siku rasmi niliyoachwa na mwanamke aliyenipenda sana hakika haikuwa siku nzuri sana kwangu mpaka sasa nimehuzunika sana. Ilikuwa ni hivi kuna binti...
  19. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Bisu likigusa mfupa lazima maumivu yasikike, tusibeze maumivu yanayotikana na bisu.

    Shujaa wa dunia ameondoka kiajabuajabu. Hata kama alikuwa na ugonjwa huo kwa miaka kumi lakini mbona imekuwa kiajabu? Mungu ndie kila kitu na akiamua kumchukua mtu hakuna wa kuzuia. Lakini mbona alikuwa akipiga pushup kama hata matatizo yoyote? Mbona alikuwa anasafiri kwa gari umbali mkubwa...
  20. Cobra70

    JamiiForums Tanzania Nyuma ya Legacy kuna maumivu

    Nawasalimu wadau wa JamiiForums, Kwanza nitoe pole na kwa masikitiko makubwa kwa wananchi wa Tanzania pamoja na familia yake kutokana na kifo cha raisi wa awamu ya nne hayati John Pombe Magufuli na pia bila kumsahau aliyekuwa Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar hayati Maalim Seif. Pili: niombe...
Back
Top Bottom