mkuuwangome
New Member
- Oct 7, 2015
- 4
- 2
Habari
Siku mbili hizi nimejihisi ninapata maumivu chini ya kabla ya kumalizika kwa mbavu upande wa kushoto wakati wa kula tuu maumivu sio makali kawaida tuu.
Kabla ya kwenda kufanya vipimo naomba kujua kama kuna mtu anafahamu tazizo hili.
Asanteni sana
Siku mbili hizi nimejihisi ninapata maumivu chini ya kabla ya kumalizika kwa mbavu upande wa kushoto wakati wa kula tuu maumivu sio makali kawaida tuu.
Kabla ya kwenda kufanya vipimo naomba kujua kama kuna mtu anafahamu tazizo hili.
Asanteni sana