Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Wakati tunashangilia kuingia Uchumi wa Kati basi ujue Tulikuwa tunashangilia yafuatayo;
1.Nchi kuhama kutoka kupewa mikopo nafuu na ya mda mrefu na kukopeshwa mikopo ya Kibiashara.
2.Kukoma au Kupungua kwa misaada ya wahisani.kama misaada ya kibajeti nk
3.Kuanza kujitegemea kwa kila kitu.Sasa Ili ujitegemee manake utafute vyanzo vipya vya mapato.
Hizo ni baadhi tuu ya faida ambazo kinyume chake ni hasara, yaani ukishakuwa mkubwa lazima ukome kulelewa nyumbani.
Sasa ongezeko la kodi nk ni matokeo ya Hali hii, unfortunately tuna serikali ambayo inashindwa kuwaambia watu ukweli kwamba vya bure havipo tena lazima kufunga mikanda kujikwamua wenyewe.
Hapa Sasa ukiwa na Serikali inayotaka kufurahisha kila mtu ndio mwishowe nchi itajikita imekopa parefu mzigo wa madeni mkubwa na uchumi unaanza kuyumba.
Kwa Nchi yetu ilipofikia kodi za Juu hazitakwepeka tena na mikopo haitakwepeka ila tusipokuwa makini na mikopo tutakuja kujuta,unakopa kibiashara unawekesa sgr Mwanza mwisho wa siku hakuna tija afu tunaanza kupandishiana kodi za kulipa.
Mfano wangu unamaanisha lazima mikopo iwekezwe kwenye sekta zenye tija tuu ambazo zitakuza uchumi kwa haraka.
Kwa maelezo zaidi ya haya niliyoandika someni hotuba ya bajeti/Hali ya Uchumi 2021/2022 👇👇
1.Nchi kuhama kutoka kupewa mikopo nafuu na ya mda mrefu na kukopeshwa mikopo ya Kibiashara.
2.Kukoma au Kupungua kwa misaada ya wahisani.kama misaada ya kibajeti nk
3.Kuanza kujitegemea kwa kila kitu.Sasa Ili ujitegemee manake utafute vyanzo vipya vya mapato.
Hizo ni baadhi tuu ya faida ambazo kinyume chake ni hasara, yaani ukishakuwa mkubwa lazima ukome kulelewa nyumbani.
Sasa ongezeko la kodi nk ni matokeo ya Hali hii, unfortunately tuna serikali ambayo inashindwa kuwaambia watu ukweli kwamba vya bure havipo tena lazima kufunga mikanda kujikwamua wenyewe.
Hapa Sasa ukiwa na Serikali inayotaka kufurahisha kila mtu ndio mwishowe nchi itajikita imekopa parefu mzigo wa madeni mkubwa na uchumi unaanza kuyumba.
Kwa Nchi yetu ilipofikia kodi za Juu hazitakwepeka tena na mikopo haitakwepeka ila tusipokuwa makini na mikopo tutakuja kujuta,unakopa kibiashara unawekesa sgr Mwanza mwisho wa siku hakuna tija afu tunaanza kupandishiana kodi za kulipa.
Mfano wangu unamaanisha lazima mikopo iwekezwe kwenye sekta zenye tija tuu ambazo zitakuza uchumi kwa haraka.
Kwa maelezo zaidi ya haya niliyoandika someni hotuba ya bajeti/Hali ya Uchumi 2021/2022 👇👇