Mtu Kwao
JF-Expert Member
- Sep 2, 2019
- 394
- 713
Wakuu salam! Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu.
Kiukweli unapoachwa na mtu uliekuwa unampenda sana maumivu yake ni makali mnoo.
Lakini pia kuna maumivu yale umeachwa halafu hukuwahi kula tunda na ulikuwa unahudumia kila kitu. Ila kwenye swala la kula tunda bado ulikuwa unazungushwa mpaka unaachwa hujui chochote kuhusu tunda la mpenzi wako asee hayo maumivu yanauma sana.
Je hii kitu ilisha kukuta kama ndiyo ulijisikiaje.
Uzi tayari!
Kiukweli unapoachwa na mtu uliekuwa unampenda sana maumivu yake ni makali mnoo.
Lakini pia kuna maumivu yale umeachwa halafu hukuwahi kula tunda na ulikuwa unahudumia kila kitu. Ila kwenye swala la kula tunda bado ulikuwa unazungushwa mpaka unaachwa hujui chochote kuhusu tunda la mpenzi wako asee hayo maumivu yanauma sana.
Je hii kitu ilisha kukuta kama ndiyo ulijisikiaje.
Uzi tayari!