marekani

  1. Nigrastratatract nerve

    Marekani yazuia Ndege kutoka Ulaya kutua Marekani isipokuwa Uingereza tu ndo imeruhusiwa ndege zake kutua Marekani

    Tukiwaambia Corona saa hz ni tishio Angalia Jana Ufaransa imezuia mashabiki wa PSG kwenda Uwanjani Uingereza imetoa €30 billion kuzuia athari za kiuchumi Angela Mekel amesema ugonjwa huu unaweza kuambukiza 75% ya watu usipozuiriwa China itatoa $40 billioni kufidia athari za kiuchumi...
  2. K

    Marekani kuzuia ndege zote kutoka Ulaya isipokuwa Uingereza, kwa siku 30

    Rais Trump amesema hatua hiyo ni katika kujikinga na kusambaa kwa virusi vya corona. Pia amewashauri Wamarekani mwenye umri mkubwa kuepuka kusafiri ikiwezekana Zuio hilo la Wasafiri kutoka Ulaya litakaloanza Kesho Ijumaa Machi 13, 2020 na kudumu kwa siku 30 halitawahusu Wasafiri kutoka...
  3. technically

    Rais Magufuli ajibu hoja za Marekani, Asijifiche kwenye hoja za uzalendo, Kwanza sio Mzalendo

    Marekani haijamtuma mtu kuua watu kufunga watu na kuteka watu hapana, Marekani haijatuma mtu kuwashambulia watu kwa risasi hapana, Marekani haijamtuma kuzima vyombo vya habari na kuzuia siasa kwa wapinzani kwa miaka 5 hapana, Kama serikali haijawatuma hao watu kwanini hafanyi upelelezi kuleta...
  4. Pascal Mayalla

    Tanzania ni nchi huru, a Sovereign State, Mahakama zetu ni huru? Hizi ndizo hukumu zetu za haki, who the hell is Marekani kutuingilia? Je, tukubali?

    Wanabodi, Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa kuzungumzia Maslahi kwa Taifa, huwa nazungumza. Watanzania wenzangu, tuwe watu wa shukrani kwa yote, kukifanyika mazuri tushukuru, na hata kwa mabaya tushukuru, huwezi jua, hii hukumu ya kina Mbowe japo imegeuzwa ni mtaji, lakini tushukuru. What...
  5. beth

    Zimbabwe yasikitishwa na uamuzi wa Marekani kuendelea kuiwekea vikwazo

    Zimbabwe on Thursday said it was dismayed by the White House's "baffling" decision to extend sanctions against members of the southern African country's government over rights abuses. The United States first imposed sanctions, including financial and travel restrictions, in 2003 against...
  6. Jamii Opportunities

    Nafasi za Kazi, House manager, Ubalozi wa Marekani

    The U.S. Embassy is seeking for an individual for the position of House Manager for a senior level diplomat. OPEN TO: ALL ORDINARILY RESIDENT (OR) APPLICANTS. MUST HAVE THE REQUIRED WORK AND/OR RESIDENCY PERMITS TO BE ELIGIBLE FOR CONSIDERATION. OPENING DATE: March 4, 2020 CLOSING DATE...
  7. beth

    Tennessee, Marekani: Vimbunga vyaua watu 25 na kujeruhi 150. Wengine 77 hawajulikani walipo

    Watu 25 wamefariki dunia na wengine 77 hawajulikani walipo baada ya vimbunga viwili kupiga katika Jimbo la Tennessee Marekani. Watu 150 wamejeruhiwa na asilimia kubwa ya majengo yameharibiwa vibaya Mamlaka zinaendelea na zoezi la uokoaji. Shule zimefungwa kwa muda ===== The death toll from...
  8. Bundewe

    Do you know that America worship their own secret GOD?

    Great thinkers! I heard someone saying that America as a nation has its own secret GOD. Looking from its dollar note, there are words IN GOD WE TRUST right at the middle. They are not referring to God in heaven (that most of us know)but G = Gold O = Oil D = Diamond That's why if you mess up with...
  9. joto la jiwe

    Ubalozi wa Marekani Kenya watoa tahadhari ya kuwepo kwa shambulio la Kigaidi Jijini Nairobi wakati wowote kuanzia sasa

    Ubalozi wa Marekani nchini Kenya umetoa onyo kwamba magaidi huenda wakashambulioa hoteli moja kubwa nchini Nairobi. Kulingana na ubalozi huo, hoteli iliolengwa ni maarufu kwa kuwa hutemebelewa sana watalii na wanabiashara. ''Makundi ya kigaidi huenda yanapanga njama dhidi ya hoteli moja kubwa...
  10. The Sheriff

    Thamani ya Kiswahili: Watu maarufu duniani wenye majina ya Kiswahili

    Kiswahili ni lugha inayozungumzwa na mamilioni ya watu katika Afrika na kote duniani. Ingawa Kiswahili kimeonekana kupanda chati na kuonekana kuzidi kushika kasi leo, lakini lugha hii ilshapata heshima tangu zamani. Wasanii na watu maarufu walitamani kuizungumza wakiwa na fikra kwamba Kiswahili...
  11. Miss Zomboko

    Misaada mingi ya China barani Afrika, Marekani yaitaka Afrika kuwa makini

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo hivi karibuni alimaliza ziara nchini Senegal, Angola na Ethiopia na katika Umoja wa Afrika. Hii ni mara yake ya kwanza kufanya ziara katika nchi za Afrika zilizoko kusini mwa Sahara, katika karibu miaka miwili iliyopita, tangu ateuliwe kuwa Waziri...
  12. Chamoto

    Utabiri: Bernie Sanders Ndiye Rais Ajaye Wa Marekani

    Bernie Sanders ndiye atakayekuja kuwa Rais wa 46. Kuna vita Marekani kati ya matajiri na masikini, mfumo uliopo sasa unakandamiza sana watu wa kawaida. Pengo kati ya matajiri na wafanyakazi limezidi kuongezeka. Mfano, watu watatu matajiri kabisa wanautajiri mkubwa kuliko nusu ya wananchi wa...
  13. technically

    Nimemkumbuka sana IGP Sirro, yupo kimya toka tamko la Marekani juu ya Makonda. Kulikoni?

    Kanyamaza, hapendi tena lawama. Je, atakubali kuendelea kuwa IGP kuelekea Uchaguzi Mkuu au atajiuzulu? Au atatumbuliwa? Maana ni mtu muungwana anayefanya kazi na watu wasio na maadili kama alivyokuwa Kangi. Je, atakubali kutumika maana yupo kwenye rada ya Wamarekani kuelekea ICC? Ningekuwa...
  14. Miss Zomboko

    Urusi kuingilia uchaguzi wa Marekani: Aliyekuwa mshauri wa Trump ahukumiwa miezi 40 jela

    Roger Stone, aliyekuwa mshauri wa Rais wa Marekani, Donald Trump wakati wa kampeni za uchaguzi ambaye jina lake lilitajwa wakati wa kesi ya Urusi amehukumiwa kifungo cha miaka 3 na miezi 4. Uamuzi kuhisiana na kesi zilizokuwa zikimbali Stone umetolewa katika mahakama jijini Washington...
  15. beth

    Equifax: Marekani yawashtaki wanajeshi wanne ''wadukuzi'' wa Kichina

    Marekani awashtaki wanajeshi ''wadukuzi'' wa Kichina.. Zaidi ya Wamarekani milioni 147 waliathiriwa mwaka 2017 wakati wanaodaiwa kuwa ni wadukuzi, ambao ni wajumbe wa Jeshi la Ukombozi la Wachina (PLA), lilipoiba data mkiwemo majina na anwani Baadhi ya wateja wa Uingereza na Canada pia...
  16. MALCOM LUMUMBA

    Wanajeshi wa Marekani walioathirika ubongo kutokana na shambulio la Iran wafikia 109

    Idadi ya wanajeshi wa Marekani wanaougua majeraha ya ubongo kufuatia shambulio la Iran dhidi ya wanajeshi wa Marekani katika kambi moja nchini Iraq mwezi Januari imefikia 109, kulingana na maafisa wa Marekani. Idadi hiyo iliongezeka kutoka wanajeshi 64 walioripotiwa hapo awali na Pentagon. Rais...
  17. Corticopontine

    Hivi Marekani akiiwekea vikwazo Tanzania ndio upinzani unaingia Ikulu? Zimbabwe imewekewa vikwazo lakini chama ni kile kile ZANU PF

    Ukimwangalia ZITO tabia ya usaliti alianza nayo toka zamani tangu enzi akiwa CHADEMA mabeberu wake walikuwa ni Serikali ya Kikwete iliyokuwa inamtumia kula hela zaidi Alipoingia Magufuli alijua kuwa utaratibu ule wa awali utaendelea kwamba Magufuli ataendelea kumtumia Zito kudhoofisha Upinzani...
  18. Erythrocyte

    Zitto Kabwe ni mgonjwa alazwa Marekani, madaktari wamtaka asisafiri

    Hii ni kwa mujibu wa mdhamini wake alipokuwa anaiambia Mahakama kisa cha Zitto kutokuwepo mahakamani leo ambapo kesi yake ya uchochezi imesomwa tena. ======== Heri Kimbita ambaye Mdhamini wa Zitto Kabwe, ameiambia Mahakama leo kwamba, Zitto Kabwe anaumwa na amelazwa huko Marekani. Madaktari...
  19. J

    2020 Afrika Mashariki kutembelewa na marais wawili wa dunia, Trump wa Marekani na Netanyahu wa Israel

    Ni jambo la kujivunia kwetu sisi wana Afrika Mashariki kupata ugeni huu mkubwa wa viongozi wa dunia. Ujio wa Benjamin Netanyahu wa Israel na Donald Trump ni fursa muhimu kwa wadau wa ukanda wetu wa Afrika Mashariki kutangaza vivutio vyetu vya utalii na fursa nyingine. Mungu awabariki...
  20. Pascal Mayalla

    Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

    Wanabodi, Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 44 kati ya hoja hizo, hoja 33 ni maswali ya kiusalama kuhusu taifa letu Tanzania. Angalizo Kuhusu Security Conscious Ulinzi wa taifa sio jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama pekee bali ni jukumu la kila Mtanzania Mzalendo wa taifa lake...
Back
Top Bottom