Zanzibar 2020 Maalim Seif akamatwa wakati akienda kupiga kura ya mapema

MURUSI

JF-Expert Member
Jun 25, 2013
4,493
8,728
Screen Shot 2020-10-27 at 08.33.29.png


Kuna update: Update 2: Maalim Seif alazimishwa kurudi nyumbani. Vipigo vyaendelea kutembezwa - Imevuja!
 
ALERT 🚨: Maalim Seif Akamatwa

Mgombea Urais wa @ACTZanzibar, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa @ACTwazalendo, Maalim @SeifSharifHamad amekamatwa muda huu na Vyombo vya Dola wakati akiwa katika Kituo cha Kupigia Kura cha Garagara. Taarifa zaidi zitawajia


#ZanzibarLivesMatter
 
ALERT 🚨: Maalim Seif Akamatwa

Mgombea Urais wa @ACTZanzibar, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa @ACTwazalendo, Maalim @SeifSharifHamad amekamatwa muda huu na Vyombo vya Dola wakati akiwa katika Kituo cha Kupigia Kura cha Garagara. Taarifa zaidi zitawajia

#ZanzibarLivesMatter
Mithali 34:14
Haki huinua Taifa na dhambi ni aibu ya watu wote

Pia imenenwa kuwa AMANI NI ZAO LA HAKI

Tunapaswa kama Taifa tujiulize je HAKI tunaitenda wakati tunahimiza tudumishe AMANI?
 
Back
Top Bottom