marekani

  1. Pascal Mayalla

    Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!

    Wanabodi, Kabla Magufuli hajawa rais wetu, sisi wengine wenu tulijua tangu mwaka 2014 na tukasema humu!.Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli Miongoni mwa sifa zilizomuibua Magufuli ni sifa inayoitwa "uthubutu" boldness and sometimes unreasonably boldness...
  2. Morning_star

    Kwani marekani (USA) kuna nini cha kutishia watu wasiende?

    Marekani kuna masikini na mafukara waliopigika na ambao hawana tumaini la kutoka kimaisha maisha yao yoote. Marekani kuna magereza mengi kuliko vyuo na taasisi za kutoa elimu. Marekani ndo nchi inayoongoza duniani watu kuuana kwa kutumia bunduki, n.k. Kwani Marekani ni mbinguni? Au ukiingia...
  3. J

    Sasa mke wa Makonda ana kosa gani hadi azuiliwe kuingia Marekani?

    Nimeshangazwa sana na katazo la mke wa RC kuingia nchini Marekani. Yeye binafsi ana kosa gani?! Naomba Pascal Mayalla na Nyani Ngabu mkuje hapa kunitoa tongotongo. Nawasilisha!
  4. Miss Zomboko

    Ndugai: Tumshughulikie Zitto kama Bunge la Marekani linavyomshughulikia Rais Trump

    SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema kama Bunge la Marekani linamshughulikia Rais wa nchi hiyo, Donald Trump kwa vitendo vya kukosa uzalendo, kwa nini isiwe kwa mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe ambaye amefanya kitendo cha kuisaliti kwa nchi. Spika Ndugai amesema...
  5. Morning_star

    Zijue mbinu anazozitumia Marekani kukandamiza nchi masikini ili aendelee kupora rasilimali zake

    Waswahili husema: "kama humjui shetani anza kupata maendeleo". Taifa la Marekani limejengwa katika misingi ya damu na roho za watu! Wenyeji wa nchi ya Marekani ni "Red Hindis". Hawa wenyeji waliuwawa vifo vya maangamizi "extinction" na waliosalia ni kwaajili ya kumbukumbu ya historia kwasabahu...
  6. Sibonike

    Mshauri Mkuu wa Simba marufuku kwenda Marekani

    Sasa ndiyo tumeona busara ya Mo kumteua Makonda kuwa Mshauri Mkuu wa bodi ya Simba. Najua wana Simba wenzake wakifadhaika sana na uteuzi huo. Hili la kupigwa marufuku kwenda Marekani kwa sababu ya ukiujwaji mkubwa wa haki za binadamu unaiweka wapi Simba SC? Mo, acha uoga, mtimue Makonda mara moja.
  7. YEHODAYA

    Statement ya Marekani ya zuio kwa watanzania ina utata huu kisheria

    Kwenye Sheria kuna vitu viwili kuna credible evidence na credible information Marekanii walichonacho sio credible evidence wana credible information Statement yao kifupi eneo lenye utata hii hapa, na I quote "Department has credible information that Makonda was involved in such violations in...
  8. Private investigator

    Hongera Mh. Makonda, Marekani imeguswa na utendaji wako

    Ndio!! Hizi ni pongezi zangu binafsi toka Mwanza kwa Mh Makonda kwa kutambuliwa na Marekani wababe wa dunia. Wameamua kumpiga pini kwenda Marekani. Nitaeleza kwanini nampongeza Mh Makonda kwa hili. Ikumbukwe Marekani mbali na kujitanabaisha kama taifa linalolinda haki za binadamu ila ndio...
  9. G Sam

    Bunge la Senate lapongeza zuio la Paul Makonda kuingia Marekani. Lasema huo ni mwanzo wa kuwawajibisha walioua demokrasia ya Tanzania

    Siongei sana
  10. G Sam

    Mjadala: Waziri wa mambo ya nje ya Marekani anamkuta Paul Makonda na hatia ya kuua watu! Kwanini anakumbatiwa sana na Rais Magufuli?

    Waziri wa mambo ya nje wa Marekani ambaye kimsingi ni moja ya viongozi wanaoheshimika sana duniani anaitangazia dunia kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ndugu Paul Makonda anadhulumu haki ya mtu kuishi ( Anaua watu) na dunia nzima inasambaza habari hizo. Ukija hapa Tanzania utaambiwa na...
  11. Boniphace Kichonge

    Watanzania wazuiliwa kucheza bahati nasibu ya kupata ukazi wa kudumu (Green Card) Marekani

    Wadau Vyombo vya habari nchini Marekani vinaripoti kuwa raia wa Tanzania wamepigwa marufuku kushiriki katika mchezo wa bahati nasibu wa kupata viza ya kuingia Marekani. Bahati nasibu hiyo hutoa visa kwa watu takribani 50,000 kutoka nchi zenye kasi ndogo ya maendeleo kila mwaka kuingia na...
  12. DocJayGroup

    Zuio Kwa WaTZ: Wahi Ubalozi wa USA Kabla haijala Kwako Kama Ulishinda Viza ya Kukupa Makazi ya Kudumu Marekani

    Kila mwaka, Marekani inatoa makazi ya kudumu kwa watu 50,000 kupitia mchezo wa bahati nasibu. Mchezo huo, unachezwa kuanzia mwanzoni mwa mwezi Oktoba hadi Mwanzoni mwa mwezi Novemba. Leo hii, Serikali ya Marekani imetangaza kwamba waTanzania wote watazuiliwa kwenda Marekani kupitia bahati na...
  13. Nsumba ntale tz

    Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

    Serikali ya Marekani imemzuia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuingi nchini humo kutokana na kuhusika kwake kwenye uvunjifu wa Haki za Binadamu unaohusisha kunyima haki ya kuishi, uhuru na ulinzi wa watu. Katika uongozi wake, Makonda ameonesha uonevu kwa wapinzani, kuminya uhuru wa...
  14. Nigrastratatract nerve

    Barick kazini, hili la kuwawekea watu wa karibu na Rais wasisafiri kwenda Marekani ni kuficha ukweli wa biashara zao Makinikia yatakuwa undervalued

    Baada ya kutiliana mkataba wa Barick vs Serikalikali haya yote yameanza kuibuka hawa watu wamekasirika inabidi mheshimiwa asirudi nyuma.
  15. J

    Marekani yaipongeza serikali ya Rais Magufuli, yatoa msaada wa vifaa mbalimbali vya kijeshi kwa JWTZ

    Serikali ya Marekani inayoongozwa na Rais Donald Trump imefurahishwa na utendaji wa serikali ya awamu ya 5 na imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya kijeshi. Miongoni mwa vifaa hivyo ni pamoja na magari ya kisasa ya kijeshi. Sherehe ya makabidhiano imefanyika katika viwanja vya kambi ya jeshi...
  16. Chakaza

    Ubalozi wa Marekani: Tumetiwa moyo na hakikisho la Rais Magufuli kwamba uchaguzi mkuu 2020 utakuwa huru, wa haki na wenye uwazi

    Tamko hili ni kama agizo juu ya kauli aliyotoa Rais Magufuli juu ya uchaguzi mkuu wa 2020. Hilo suala la Tume huru ya uchaguzi halijaingizwa hapo kwa bahati mbaya bali linaonyesha lina kusudio maalumu. Haya US wamepiga kulia huku kushoto WB wametwanga kivingine. Hakika mwaka huu kuna makubwa...
  17. B

    Misaada ya kibinadamu ya Uswisi kwa Iran, Marekani yaafiki

    Kitanzi cha vikwazo kwa Iran chapata mwokozi kunusuru mamilioni ya Wairan Uswiss yajitwisha kuokoa jahazi baada ya Iran kuelemewa na vikwazo walivyowekewa na Marekani. Katika msaada huo wa kibinadamu kwa Iran, Uswiss imeihakikishia Marekani kuwa haitavunja vikwazo zilivyotangazwa. Misaada...
  18. Mr worldwide

    Marekani na Trump wamefikia wapi kuiwekea Tanzania vikwazo? Jumatatu imepita

    Wakuu wiki iliyopita hapa nchi kulizuka mjadala mkubwa sana wa Tanzania kuwa miongoni mwa zitakazowekewa travel ban na nchi ya Marekani chini ya Rais mtukutu Trump. Zaidi taarifa hizo zilidai kuwa kufika Jumatatu ya tarehe 27 Marekani itakuwa imetoa list kamili ya nchi zilizopigwa ban na sababu...
  19. Kanjwinjwi

    Iraq: Maelfu waandamana kushinikiza vikosi vya Marekani kuondolewa nchini humo

    A massive demonstration –called for by a prominent Shia cleric– has flooded the streets of the Iraq's capital Baghdad, with thousands voicing their anger at the US military presence there. Early on Friday morning, throngs of protesters – men and women, young and old – began amassing at...
  20. Kurzweil

    Tanzania yatajwa kuwa miongoni mwa nchi 7 zinazotarajiwa kuwekewa vikwazo vya kuingia Marekani

    Serikali ya Marekani chini ya Rais Mtata, Donald Trump imetangaza kuwa iko mbioni kuziongeza nchi nyingine 7 kwenye orodha ya nchi ambazo Wananchi wake watawekewa vikwazo vya kuingia nchini humo (Marekani) Tanzania imetajwa pamoja na nchi za Belarus, Eritrea, Kyrgyzstan, Myanmar, Nigeria na...
Back
Top Bottom