Ukimwi hauui ila Mapenzi yanaua.

Ukimwi hauui ila Mapenzi yanaua.

Vaa KONDOMU kabla haujaanza kukimbilia kwenda kupima na kumeza PEP na PrEP hakikisha una kawaida ya kuvaa KONDOMU. Tusije kupigiana kelele humu tumeanza kuchoka.

Kila siku tunawaelekeza beba KONDOMU.
 
Wewe pita tu huu uzi km unaaga maiti ila nimekukumbusha vaa KONDOMU.

Mambo ya kuhangaika na vipimo utaishia kuyasikia kwa wenzio tu.

Jikinge na maambukizi vaa KONDOMU.
 
  • Thanks
Reactions: O29
Kichwa cha mboo kipo very sensitive kikipata michubuko au vidonda visivyopona haraka. Mateso yake ni makali mno uyasikie tu kwa wenzako.

Vaa KONDOMU.
 
  • Thanks
Reactions: O29
Kuna homa ya ini pia unashauri wavae nini
Nilitaka kusema kwamba uvae condom wewe ukinielewa hapo tu inatosha soon utaniuliza kuna homa ya uti wa mgongo una shauri wavae nini?

Wewe vaa Condom
 
Kichwa cha uboo kikipata hitirafu kikaota vidonda visivyopona kirahisi ukijigusagusa tu kwenye boksa ndugu yangu maumivu yake sio ya hii dunia.

Nakuhimiza sana vaa Condom kijana punguza ujuaji kabla mambo hayajawa mabaya
 
Kichwa cha uboo kikipata hitirafu kikaota vidonda visivyopona kirahisi ukijigusagusa tu kwenye boksa ndugu yangu maumivu yake sio ya hii dunia.

Nakuhimiza sana vaa Condom kijana punguza ujuaji kabla mambo hayajawa mabaya
Maneno bila picha ni gambling
 
Back
Top Bottom