Wakuu naumwa sasa sababu ya mapenzi

Wakuu naumwa sasa sababu ya mapenzi

Joined
Jun 16, 2026
Posts
23
Reaction score
48
Jumapili njema wakuu, nimeenda church Leo kidogo.

Nimetoa sadaka ya laki sita baada ya kupiga diesel ⛽ za kutosha kwenye skavetaa yangu kwa ajili ya kufutiwa dhambi maana hali mbaya sana, baada ya kuachwa na Mwanamke wa ndoto yangu Khadija, nikafanya kila mbinu ya kumrudisha ila zote zimefelii, kulala makaburini,kupigwa na waganga zaidi ya ml 4 huko

Ila baya zaidi nimejikuta na kuwa teja sababu ya huyu mwanamke ili nimsahau huyu mwanamke cha ajabu sasa nimekuwa natumia 50000/= kila siku kwa ajili ya hii stimu nisipotumia napata alosto Kali sana mwili unaumaa sana nakuwa sijielewi, kabisa maymivu makali ani mpaka nitumie ndo nakuwa sawa,je nifanyaje wakuu ili niwe kama zamani
 
Daaah kama ni kweli pole, hiyo uliyonayo ni attachment feeling, kwamba feelings zako umeziattach kwa mwingine( vitu vingine)
Yaani furaha yako inatokana na Khadija.

Love haijawahi kumfanya mtu hivyo.
Ukimpenda mtu utamtakia heri kokote alipo hata kama huko aliko hakukusaidii kwa chochote.
Attachment ni pale sasa unapomtumia kwa sababu anakupa furaha nk kwa hiyo akiondoka kwenye maisha yako ubongo wako unahangaika kutafuta furaha ( ndiyo hiyo sasa uraibu umekutokea)

Furaha iko ndani yako mwenyewe' hakuna atakayekupa furaha kama ndani mwako haipo.
 
Kosa la kwanza ni kujiaminisha kuwa Bi Khadija atakuwa mwanamke wa ndoto yako wakati wewe ni Yohana.
Watu wenye maarifa wanakuwa sana makini na masuala ya dini kabla ya kuingia kwenye Ndoa kwani mkibarikiwa watoto, wanakosa malezi mazuri ya kidini....
 
Bangi unayovuta iliyochanganywa na sumu ya panya inakufanya uwe delusional

Hizo figures ulizoandika umeona uongeze 00

Lakini stori yako ya Khadija kukuacha inaonekana kama ni ukweli
kwa khadija tumekubali ila hayo mengine tutamfuatilia😀😀
 
Asubuhi kete Moja ya skanka ya Malawi nauziwa 5000 + pineapple express (bangi ilivundikiwa sumu ya panya.sk.dawa ya usingizi) inauzwa 5000.kwa hiyo kwa siku natumia mara tatu ambayo ni 30000/= anayeniletea anakula 20000/= kwa siku inakuwa 50000l= nahitaji msaada kwa yoyote aliyewahi kupitia nimeshakuwa teja
 
Jumapili njema wakuu, nimeenda church Leo kidogo.

Nimetoa sadaka ya laki sita baada ya kupiga diesel ⛽ za kutosha kwenye skavetaa yangu kwa ajili ya kufutiwa dhambi maana hali mbaya sana, baada ya kuachwa na Mwanamke wa ndoto yangu Khadija, nikafanya kila mbinu ya kumrudisha ila zote zimefelii, kulala makaburini,kupigwa na waganga zaidi ya ml 4 huko

Ila baya zaidi nimejikuta na kuwa teja sababu ya huyu mwanamke ili nimsahau huyu mwanamke cha ajabu sasa nimekuwa natumia 50000/= kila siku kwa ajili ya hii stimu nisipotumia napata alosto Kali sana mwili unaumaa sana nakuwa sijielewi, kabisa maymivu makali ani mpaka nitumie ndo nakuwa sawa,je nifanyaje wakuu ili niwe kama zamani
Gentlemeni wait kidogo,

Umesema Khadija alikuwa anakupa nini ambacho kilikuwa kinakuzuzua mpaka sasa.
 
Jumapili njema wakuu, nimeenda church Leo kidogo.

Nimetoa sadaka ya laki sita baada ya kupiga diesel ⛽ za kutosha kwenye skavetaa yangu kwa ajili ya kufutiwa dhambi maana hali mbaya sana, baada ya kuachwa na Mwanamke wa ndoto yangu Khadija, nikafanya kila mbinu ya kumrudisha ila zote zimefelii, kulala makaburini,kupigwa na waganga zaidi ya ml 4 huko

Ila baya zaidi nimejikuta na kuwa teja sababu ya huyu mwanamke ili nimsahau huyu mwanamke cha ajabu sasa nimekuwa natumia 50000/= kila siku kwa ajili ya hii stimu nisipotumia napata alosto Kali sana mwili unaumaa sana nakuwa sijielewi, kabisa maymivu makali ani mpaka nitumie ndo nakuwa sawa,je nifanyaje wakuu ili niwe kama zamani
Maisha sio kuoa au kuolewa
Nifate pm nikupe counselling
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom