Usaliti wa mapenzi unaumiza sana 🥹

Usaliti wa mapenzi unaumiza sana 🥹

Tuagize

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2021
Posts
284
Reaction score
711
Usaliti wa mapenzi niliofanyiwa unanifanya nazidi kudhoofika sana, kuna muda nalia pekee yangu kuona wapi nilipokosea kwanini napitia kipindi hichi kigumu katika maisha yangu

Sikuwahi kupitia kabla msongo wa mawazo niliokuwa nao hivi sasa eeh mwenyezi mungu ninusuru kwa haya ninayopitia,

Kinachoniumiza zaidi nashindwa kumsahau kabisa, japo ameshaniomba msamaha mara kadhaa na kujutia alioyafanya, lakini moyo wangu bado unaniuma sana kila nikifikiria kwanini alifanya vile

Roho ya kutaka kumsamehe inanijia lakini moyo wa kukataa nao unaniambia lakini binafsi bado kuna chembe ya mapenzi yangu juu yake 🥺

Hakika Mapenzi yameniumiza sana 🥹
 
usaliti wa mapenzi niliofanyiwa unanifanya nazidi kudhoofika sana, kuna muda nalia pekee yangu kuona wapi nilipokosea kwanini napitia kipindi hichi kigumu katika maisha yangu

Sikuwahi kupitia kabla msongo wa mawazo niliokuwa nao hivi sasa eeh mwenyezi mungu ninusuru kwa haya ninayopitia,

Kinachoniumiza zaidi nashindwa kumsahau kabisa, japo ameshaniomba msamaha mara kadhaa na kujutia alioyafanya, lakini moyo wangu bado unaniuma sana kila nikifikiria kwanini alifanya vile

Roho ya kutaka kumsamehe inanijia lakini moyo wa kukataa nao unaniambia lakini binafsi bado kuna chembe ya mapenzi yangu juu yake 🥺

Hakika Mapenzi yameniumiza sana 🥹
ni muhimu sana kuchukua tahadhari, kua makini, wastahilivu na wenye subra tunapokumbana na changamoto za kawaida kama hizo zisizozoeleka kwenye mapenzi.
Ni muhimu sana aise 🐒
 
Hizi habari za kukaa na kuanza kujiuliza sijui ulikosea wapi unaweza kujikuta unajihukumu kwa makosa ambayo siyo ya kwako, cheaters always find reasons, but reasons are not excuses.
 
Pole sana, najua kusalitiwa na umpendae ni maumivu makubwa sana lakini usikate tamaa songa mbele ipo siku utampata aliye sahihi kwako kwa wakati sahihi na hakika utayafurahia mapenzi
 
Back
Top Bottom