Alexido jz instagram
JF-Expert Member
- May 5, 2026
- 2,068
- 5,018
Nilikua napita napita insta kama kawa kwenye shughuli zangu, za kila siku, nikakutana na jamaa Mmoja, kashare stori yake.
Jamaa anadai tangu 2017 hajawahi ishiwa kwenye acc yake ya bank chini ya milioni 50.
Yani NYUMBA, gari, pesa si kitu kwake Alisha tafuta akapata, ila cha kushangaza mapenzi yana mtesa kila siku, jamaa kaongea Kwa hisia sana, anateswa na mapenzi ilihali pesa ipo na ni ya kutosha kufanya fujo za mpenzi wake anae pata lakini matukio kama kawaida tu.
Hajui wanawake wanatakaga Nini?
Jamaa anadai tangu 2017 hajawahi ishiwa kwenye acc yake ya bank chini ya milioni 50.
Yani NYUMBA, gari, pesa si kitu kwake Alisha tafuta akapata, ila cha kushangaza mapenzi yana mtesa kila siku, jamaa kaongea Kwa hisia sana, anateswa na mapenzi ilihali pesa ipo na ni ya kutosha kufanya fujo za mpenzi wake anae pata lakini matukio kama kawaida tu.
Hajui wanawake wanatakaga Nini?