Wadada wa kichaga acheni usela kwenye mapenzi

Wadada wa kichaga acheni usela kwenye mapenzi

MFALME WETU

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2021
Posts
5,155
Reaction score
12,711
Ciao.!

Tushakubali kuwa hamko romantic ila punguzeni usela kwenye mapenzi.

Yan ukiwa na pisi ya kichaga inakuchanganya mpaka unashindwa kuelewa wewe ni mshikaji wake, kaka yake au mpenzi wake.

Pisi ya kichaga kukuita "oi" ni kawaida sana au text inaingia ukifungua unakuta imeandika "vipi man" haha 😄
 
Ukiona hivo ujue kazaliwa Arusha au ameishi Arusha kwa muda mrefu... Hao wanaoongea hivyo ili kuwakamua asali waenjoy inabidi uwavutie bangi sababu wenyewe unakuta walishaonjeshwa na masela zao kipindi cha makuzi 😄😄
 
Nadhani umechanganya na “wachuga“, kwenye hili nawatetea shemeji zangu na makomwe yao hawana baya.
 
Ciao.!

Tushakubali kuwa hamko romantic ila punguzeni usela kwenye mapenzi.

Yan ukiwa na pisi ya kichaga inakuchanganya mpaka unashindwa kuelewa wewe ni mshikaji wake, kaka yake au mpenzi wake.

Pisi ya kichaga kukuita "oi" ni kawaida sana au text inaingia ukifungua unakuta imeandika "vipi man" haha
 
Ciao.!

Tushakubali kuwa hamko romantic ila punguzeni usela kwenye mapenzi.

Yan ukiwa na pisi ya kichaga inakuchanganya mpaka unashindwa kuelewa wewe ni mshikaji wake, kaka yake au mpenzi wake.

Pisi ya kichaga kukuita "oi" ni kawaida sana au text inaingia ukifungua unakuta imeandika "vipi man" haha 😄
Mi hua nachapa tu nakuziacha hazina mzuka wa kuitamani tena
 
Back
Top Bottom