majukumu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Brain Kingdom

    Mungu hakukosea kutenganisha nafasi na majukumu katika muktadha wa jinsia

    Wasalaam, Wanaume na wanawake ni zao la Mungu baba wa mbinguni, aliye muumba wa vitu vyote, ukuu wa Mungu na vielelezo vyake ameumbiwa mwanaume. Hivyo nawakumbusha wanajamii na watu wa mataifa Duniani kuzingatia yote kwa kufuata muundo wake Mungu. Itokeapo ukamfanya mke kuwa Mkuu wa kaya zenu...
  2. JanguKamaJangu

    Waandishi wajengewa ujasiri kupambana na changamoto katika majukumu yao

    Waandishi wa habari licha ya kuwa watu muhimu katika jamii lakini wamekuwa katika mazingira ambayo siyo mazuri wanapokuwa.wakitekeleza majukumu yao ya kuhabarisha Umma kwani miongoni mwao kupata vitisho wengine kutekwa na wengine kufikishwa katika vyombo vya sheria wakiwa wanadai haki zao hivyo...
  3. M

    Jeshi la wananchi laonywa lisivunje katiba ya nchi kwa kufanya majukumu yasiyo yake kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi

    WAKILI MWABUKUSI ANATAKA MKUU WA MAJESHI AZUIE UVUNJIFU WA KATIBA. "Nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria na katiba. Kazi ya kukamata wa halifu ni ya Jeshi la Polisi. Jeshi la wananchi halina mamlaka kisheria na kikatiba kuingia kufanya msako mitaani kwa kisingizio cha kutafuta sare zao. Jukumu...
  4. Roving Journalist

    Ufafanuzi kuhusu Kazi na Majukumu ya Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Nishati na Maji(EWURA CCC)

    UFAFANUZI WA TAARIFA ILIYOCHAPISHWA KWENYE UKURASA WA JAMII FORUM TAREHE 17.03.2019 KUHUSU EWURA CCC Tarehe 17.03.2019 kuna mdau ameandika taarifa inayolenga ama kwa kufahamu ama kwa kutokufahamu kupotosha umma wa watanzania kuhusu kazi na majukumu ya Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za...
  5. Street Hustler

    Naibu Waziri Mkuu majukumu yake Kikatiba ni yapi? Wafahamu waliowahi kuwa Manaibu Waziri Wakuu nchini

    Jamani hili Taifa letu tunaendaje? Vyeo vinakuwa vingi Sana. Ina maana ofisi ya Waziri Mkuu imekuwa kubwa sana mpaka utendaji unakuwa Mdogo na kuamua kuiongeza nguvu kumpa msaidizi vipi? Vipi wizara zilizo chini yake? Ningependa kujua majukumu ya Naibu Waziri Mkuu yatakuwa yapi kwa mujibu wa...
  6. Dr Matola PhD

    Suala la Viza ya Marekani na Canada Serikali ya Tanzania ivunje ukimya, foreign affairs watimize majukumu yao

    Wakuu kuna hili swala la viza ya Marekani na Canada nadhani si la kukaliwa kimya. Ni kweli hizo nchi zina haki na mamlaka ya kuamuwa wanavyotaka lakini waziri wetu wa foreign affairs linapotokea jambo linawakwaza hana budi kukaa kikao na Mabalozi wa hizo nchi mbili hili kuondowa changamoto...
  7. U

    Anatakiwa asubiri siku mbili au zaidi kisha ndiyo aendelee na majukumu yake

    Wadau hamjambo nyote? Mada na elimu hii ni kwa wale wenye hekima peke yake na ndiyo wanakaribishwa kujadili Anatakiwa kama Amemaliza leo basi ni vema akasubiri angalao siku 2 hadi 3 kabla ya kuendelea kutekeleza majukumu yake ya Kifamilia! Asubuhi njema ndugu zangu
  8. benzemah

    Panya wa SUA Wapata Majukumu Bandarini

    Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), imesema miongoni mwa njia wanazozitumia kudhibiti ujangili na utoroshwaji wa bidhaa zinazotokana na wanyamapori ni kukagua mizigo bandarini kwa kutumia panya wenye mafunzo maalumu kutoka Chuo cha Kilimo Sokoine (SUA). Kauli hiyo imetolewa na...
  9. K

    Wananchi wapewe mamlaka kamili ya kuwashtaki viongozi wanaoingilia majukumu yasiyo yao

    Tume ya maboresho ya mfumo wa haki jinai ikiwa imemaliza kazi yake na ripoti yake kuwasilishwa Kwa Mhe. Rais Kwa hakika mapendekezo yake kama yakifanyiwa kazi, mfumo wa upatikanaji wa haki Tanzania utaboreka na kuimarika. Na niseme kwamba maboresho hayo ni sawa na kuifumua katiba iliyopo na...
  10. L

    Wanawake wa China na Afrika watafuta njia za kushirikiana na kutekeleza majukumu makubwa zaidi katika jamii

    Maonesho makubwa ya tatu ya Uchumi na Biashara kati ya China na Afrika yalifungwa mwishoni mwa mwezi uliopita katika mji wa Changsha, mkoani Hunan, hapa nchini China. Mbali na maonesho ya bidhaa mbalimbali, makongamano kadhaa pia yalifanyika likiwemo ‘Kongamano la Wanawake la China na Afrika’...
  11. JET SALLI

    DOKEZO Trafiki na Polisi wanaotumia pikipiki Sumbawanga wanawatesa wamiliki wa vyombo vya usafiri kwa rushwa iliyokithiri

    Ndugu zangu Watanzania serikali yetu ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania inapaswa kutambua kwamba katika majeshi ambayo ni shida na mateso kwa Watanzania hususani wenye vyombo vya usafiri Jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani na polisi wanaotumia pikipiki ni tatizo kubwa kwa Watanzania...
  12. S

    Serikali kuzuia mazao ya chakula kuuzwa nje inakwepa majukumu yake na ni uonevu mkubwa kwa wakulima

    Moja ya wajibu mkubwa wa serikali ni kulinda na kudumisha usalama wa nchi. Usalama wa nchi huchangiwa kwa kiasi kikubwa na usalama wa chakula (upatikanaji wa chakula kwa bei inayohimilika). Kinyume chake nchi inaweza kuingia ktk machafuko. Mfano, serikali ya Al Bashir wa Sudan iliondolewa...
  13. D

    Kuelekea chaguzi za 2024/2025, Viongozi wa Dini timizeni majukumu yenu

    Mimi naamini kuwa, Nchi yetu imefika hapa ilipo kutokana na viongozi wetu wa Dini kujisahau kidogo kutimiza majukumu yao vizuri kwa waamini wao. Viongozi wa Dini tumehubiri sana Amani, Utulivu na Upendo Makanisani na Misikitini tangu tupate uhuru mpaka sasa lakini hatujafanikiwa sana kwa sababu...
  14. S

    Yafahamu majukumu ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuhusiana na mikataba ya kimataifa

    UANDISHI WA SHERIA Kwa mujibu wa Hati ya Idhini ya Maboresho ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali Tangazo la Serikali Na.48 la Mwaka 2018 ,Ofisi hii inatekeleza majukumu yafuatayo Kupitia Divisheni ya Uandishi wa Sheria. Kutoa ushauri kwa Wizara, Idara Zinazojitegemea na Taasisi za...
  15. R

    Kweli jiji la Dar es salaam leo linahitaji kiongozi aina ya Chalamila? Majukumu ya mkuu wa mkoa ni mepesi hivyo?

    Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo. Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa yanahitaji thinker's siyo commedian. Ulimwengu umebadilika sana . Kutoka kuwa na wakuu wa mikoa...
  16. Santasente

    Watu mtambue majukumu yenu sio kila kitu Serikali

    Habarini za mchana wapendwa Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza naomba watu watambue wajibu wao sio kila kitu serikali sasa mtu anakomaa eti serikali itoe tamko kuhusu ushoga utazani serikali ndio imewatunzia vinyeo vyao hii watu wawape watoto wao malezi bora na wao wajilinde ili...
  17. S

    Spika Dkt. Tulia Ackson Aache kuingilia Majukumu ya Mawaziri

    Spika wa bunge letu jana alinisikitisha sana na ameshusha credibility alliyokuwanayo. Wakati waziri wa TAMISEMI akiwa anahitimisha hoja yake alitokea mbunge moja mwanamke wa viti maalum nafikiri kutoka nyanda za juu kusini. Yule mbunge alitaka kulazimisha wale wanaoitwa walimu waliojitolea...
  18. The Eric

    Wanaume wa leo tutimize majukumu yetu ipasavyo..

    Salaam wakuu! Mimi kama mwanaume natoa haya.... Wanaume wa siku hizi baadhi yao ni kwamba tunafail sana yaani, Ona hizi kero. Wanaume wengi ndani ya ndoa hawatoi mahitaji, wanaachia wakina mama kila kitu afu wanataka wasikilizwe hilo haliwezekani. Mwanaume ukiombwa pesa na mwanamke unavunga...
  19. Yoda

    Tuache kulalamikia TISS kwa majukumu yasiowahusu ya kudhibiti ufisadi au kuendesha uchumi wa nchi

    Sijwahi kuona taifa lingine ambalo wizi/ufisadi wa mali za umma unatokea halafu Idara za ujasusi ndizo zinalaumiwa. Ukosoma sheria ya kuundwa kwa TISS kazi ya inahusu usalama wa taifa "security". Kufuatilia rushwa, ufisadi katika ofisi za umma, kuendesha uchumi, kupambana na madawa ya kulevya...
  20. Roving Journalist

    Maafisa Polisi Jamii wapewa mafunzo ya kuwajengea uwezo na kujua majukumu yao

    Jeshi la Polisi limetoa mafunzo ya siku moja kwa Maafisa Polisi Jamii na Polisi Kata kutoka Kanda Maalum ya Dar es Salaam pamoja na wengine kutoka Kibaha na Mkuranga. Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, SACP David Misime amesema mafunzo yamefanyika baada ya Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania...
Back
Top Bottom