Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,105
- 4,635
Habari wa jf.
Kuna rafiki yangu mmoja alioa mwanamke mwenye mtoto tena mapacha ni wakike tupu. Ila wao wanakaa kwa Baba yao na Baba yao ashaoa na amezaa watoto 3 na mke wake huyo mwingine 1 alizaa na mchepuko ni mdogo, Kwa hio mwamba anawatito 6 home kwake.
Huyu rafiki yangu yeye anawatoto 2 tu na mkewe. Alikubaliana na mkewe watoto wake watakaa kwa Baba yake.
Sasa rafiki yangu kipato chake kiko Bomba kabisa.
Kuna kipindi mke wake alianza kung'angania watoto wake wake kukaa kwake, mume wake akamwambia kuja kusalimia sio shida wake tuu, si wanakuja na wanakaa hata 1 to 2 weeks then wanarudi home sio shida.
Sasa kuja kipindi mwishoni mwa mwaka jana watoto wake walikuja home kwake kuja kusalimia baada ya likizo kuishi bibie akagoma kurudisha watoto kwa mwenzie mkoa mwingine. Mume wake akamuuliza vipi tena aa wakae hapa hapa, jamaa akamuuliza hao likizo si ishaisha waenda wakasome. Mke king'ang'anizi.
Mkewe mbona nyumba ni kubwa tunakaa tuu, jamaa anaishi kwenye gorofa moja.
Waligombana yeye na mke, baadae jamaa kuuliza vizuri mke wake akaanza kusema anataka watoto wake wasome shule mzuri , akamuuliza kwani huko wanasoma kubaya. Mkewe anasema shule wanayosoma sio mzuri.
Kipindi hicho mkewe yeye ni mwalimu wa shule moja hivi ya private. Ila mume wake anafanya kazi kwenye shirika moja hivi office zake zipo posta kule , mshaara wake ni mnono kwa mwezi ni mnono kweli. Jamaa akaanza kufuatilia mda mpaka wa shule unaanza still madogo wapo home. Yeye watoto wake wanasoma shule mzuri wanakuja kuchukuliwa na school bus.
Jamaa kumbana vizuri mkewe, mkewe akasema kwamba mwenzie kule anafamilia kubwa kwa sasa anawatoto 6 na mambo mengi sasa anashidwa kwa sababu majukumu ni mengi. Mume wake akamwambia sasa mimi jifanyaje. Mke akamwambia nataka wakae hapapa.
Jamaa anaona aa kukbe nianze kuudumia, akalazimisha mpka watoto madogo wakarudi kwa Baba yao. Jamaa anasema mkewe alimnunuia kama 3 months, ila baadae akajirudi mwenyewe.
Hao mapacha ilitakiwa waanze form 1 mwaka huu. Kumbe mkewe alitaka mume wake ndie awe responsible wa kulea watoto wake wakati Baba yake yupo. Na anataka wasome shule mzuri.
Mimi eee ndo hayo.
Jamani ukizaa ujue Kuna kulea.
Kuna rafiki yangu mmoja alioa mwanamke mwenye mtoto tena mapacha ni wakike tupu. Ila wao wanakaa kwa Baba yao na Baba yao ashaoa na amezaa watoto 3 na mke wake huyo mwingine 1 alizaa na mchepuko ni mdogo, Kwa hio mwamba anawatito 6 home kwake.
Huyu rafiki yangu yeye anawatoto 2 tu na mkewe. Alikubaliana na mkewe watoto wake watakaa kwa Baba yake.
Sasa rafiki yangu kipato chake kiko Bomba kabisa.
Kuna kipindi mke wake alianza kung'angania watoto wake wake kukaa kwake, mume wake akamwambia kuja kusalimia sio shida wake tuu, si wanakuja na wanakaa hata 1 to 2 weeks then wanarudi home sio shida.
Sasa kuja kipindi mwishoni mwa mwaka jana watoto wake walikuja home kwake kuja kusalimia baada ya likizo kuishi bibie akagoma kurudisha watoto kwa mwenzie mkoa mwingine. Mume wake akamuuliza vipi tena aa wakae hapa hapa, jamaa akamuuliza hao likizo si ishaisha waenda wakasome. Mke king'ang'anizi.
Mkewe mbona nyumba ni kubwa tunakaa tuu, jamaa anaishi kwenye gorofa moja.
Waligombana yeye na mke, baadae jamaa kuuliza vizuri mke wake akaanza kusema anataka watoto wake wasome shule mzuri , akamuuliza kwani huko wanasoma kubaya. Mkewe anasema shule wanayosoma sio mzuri.
Kipindi hicho mkewe yeye ni mwalimu wa shule moja hivi ya private. Ila mume wake anafanya kazi kwenye shirika moja hivi office zake zipo posta kule , mshaara wake ni mnono kwa mwezi ni mnono kweli. Jamaa akaanza kufuatilia mda mpaka wa shule unaanza still madogo wapo home. Yeye watoto wake wanasoma shule mzuri wanakuja kuchukuliwa na school bus.
Jamaa kumbana vizuri mkewe, mkewe akasema kwamba mwenzie kule anafamilia kubwa kwa sasa anawatoto 6 na mambo mengi sasa anashidwa kwa sababu majukumu ni mengi. Mume wake akamwambia sasa mimi jifanyaje. Mke akamwambia nataka wakae hapapa.
Jamaa anaona aa kukbe nianze kuudumia, akalazimisha mpka watoto madogo wakarudi kwa Baba yao. Jamaa anasema mkewe alimnunuia kama 3 months, ila baadae akajirudi mwenyewe.
Hao mapacha ilitakiwa waanze form 1 mwaka huu. Kumbe mkewe alitaka mume wake ndie awe responsible wa kulea watoto wake wakati Baba yake yupo. Na anataka wasome shule mzuri.
Mimi eee ndo hayo.
Jamani ukizaa ujue Kuna kulea.