Dkt. Tulia awasili Uswisi kuanza majukumu ya Urais IPU

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dk Tulia Ackson, leo tarehe 22 Novemba, 2023 amewasili Geneva, Uswisi kuanza utekelezaji wa majukumu yake ya Urais wa IPU.

Dkt. Tulia amepokewa na Balozi wa Tanzania nchini Uswisi, Dkt. Abdallah Possi.

WhatsApp Image 2023-11-22 at 16.26.09.jpeg
WhatsApp Image 2023-11-22 at 16.26.08.jpeg
 
Ubaya wa maspika wanatingwa sana na haya mambo yao kile cheo cha ubunge wanakipa nafasi ndogo sana

Hapa Mbeya nachomjulia zaidi ni kuandaa mashindano ya ngoma na taasisi yake ya "marafiki wa tulia trust"
 
Pamoja na yote, ni Mwalimu wangu wa Sheria za Mirathi, na Sheria za Familia na Ndoa, ni Spika wetu, ni Mtanzania mwenzetu.

Dr. Tulia pamoja na yote, ana kipaji haswa.

Tumpe ushirikiano. Anatuwakilisha.

Mwingine anayekuja na ninamuombea sana ni Jokate Urban Mwegelo.

Hawa wamama ni wa Kimataifa.

Zamani alikuwepo Prof Tibaijuka, Dr. Mwele (RIP), Dr. Asharose bado yupo Kimataifa et al.

Mungu mbariki Dr. Tulia, na Jokate. Mungu ibariki Tanzania ya Kimataifa.

Tanzania ni Baba wa Siasa za Afrika na sasa Duniani.
 
Asirudi huku kazi ya Usipika inampwaya mno
Mtanzania mmoja anaona kazi ya uspika ina mpaya Tanzania na huko Dunia ya Kwanza wanaona Tulia ndio Rais wa mabunge duniani.Utaikuta Tanzania tu
 
Sijajua kama ulikuwa unamsifia kusema ni mwanasheria wa mirathi na ndoa
 
Back
Top Bottom