GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,909
- 10,566
Jamanii eeh, uchaguzi umeshamalizika salama, hongera kwa walioshinda na pole kwa walioshindwa. Wajipange wakati mwingine.
Mitandao ifunguliwe na shughuli ziendelee.
Hatuwezi kuendelea kuwa watumwa wa uchaguzi. Mambo yameshakamilika, maisha yarejee kwenye mstari wake.
Wanaohusika na mitandao tafadhali waifungue.
Mitandao ifunguliwe na shughuli ziendelee.
Hatuwezi kuendelea kuwa watumwa wa uchaguzi. Mambo yameshakamilika, maisha yarejee kwenye mstari wake.
Wanaohusika na mitandao tafadhali waifungue.