Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,696
- 36,083
From my experience nitaweka vitu viwili vitatu vidogo ila ni muhimu sana kwa watafutaji tuliotoka mkoani kuja Dar kutafuta maisha.
Maisha popote pale yapo na yanaweza kukunyookea. Ila vijana wengi tumekuja Dar kwasababu mbalimbali. Dar es Salaam ni rahisi kupata fedha kuliko mkoa wowote Tanzania.
Mambo ya kuzingatia unapofika Dar kutafuta maisha ni haya;
- Chagua marafiki wachache sahihi, usiwe na marafiki wengi.
- Usikae kwa ndugu au rafiki kama una uwezo wa kupanga na kujilipia kodi(Usipende kitonga).
- Weka pembeni tabia ya ulevi na uzinzi au uesharati. Achana na starehe zisizo na ulazima kama disco na visherehe vya watoto wa mjini vi birthday party, sijui kuvalishana pete beach n.k.
- Aibu weka pembeni kwenye utafutaji.
***** Kuwa mwaminifu******
- Kumbuka Dar ina kanuni ya Natural selection, tambua kuna kipindi kigumu kitakujia (sio lazima) ambapo hata buku mfukoni itakupotea. Hapo ukianza kuomba nauli urudi kwenu umekwisha na utakuwa ulikuja Dar kutalii tu, utaichukia Dar mpaka uzeeni.
Maisha popote pale yapo na yanaweza kukunyookea. Ila vijana wengi tumekuja Dar kwasababu mbalimbali. Dar es Salaam ni rahisi kupata fedha kuliko mkoa wowote Tanzania.
Mambo ya kuzingatia unapofika Dar kutafuta maisha ni haya;
- Chagua marafiki wachache sahihi, usiwe na marafiki wengi.
- Usikae kwa ndugu au rafiki kama una uwezo wa kupanga na kujilipia kodi(Usipende kitonga).
- Weka pembeni tabia ya ulevi na uzinzi au uesharati. Achana na starehe zisizo na ulazima kama disco na visherehe vya watoto wa mjini vi birthday party, sijui kuvalishana pete beach n.k.
- Aibu weka pembeni kwenye utafutaji.
***** Kuwa mwaminifu******
- Kumbuka Dar ina kanuni ya Natural selection, tambua kuna kipindi kigumu kitakujia (sio lazima) ambapo hata buku mfukoni itakupotea. Hapo ukianza kuomba nauli urudi kwenu umekwisha na utakuwa ulikuja Dar kutalii tu, utaichukia Dar mpaka uzeeni.