Hakuna ubishi kuwa wanasheria wanatafuta ukweli kuhusu mambo yaliyofanywa na kufanyiwa wateja wao ambao sisi wananchi wa kawaida tunaufahamu. Tunaufahamu ukweli wote kwakuwa wahalifu na waliofanyiwa uhalifu ni miongoni mwa sisi wananchi ambao tunaishi, kucheza, kusoma, kula, fanyakazi, ama...