maandamano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    JamiiForums Tanzania Je Wajua Utofauti wa Maandamano ya Sasa huko Iran, na Maandamano yaliyotangulia dhidi ya Utawala wa Kiayatollah?

    Baada ya Mapinduzi ya Kiislamu ya 1979, Utawala wa Kiayatollah umekumbwa na maandamano mwaka 1999, 2009-2010; 2017-2018; 2019 na 2022-2023. Katika maandamano hayo yote sababu kubwa zimekuwa madai ya Haki za Msingi kwa Wananchi na Mabadiliko ya Mfumo wa Kisiasa. Kwa sehemu kubwa maandamano hayo...
  2. Msanii

    JamiiForums Tanzania Maandamano D25: Fuatilia taarifa, picha na video

    Updates za maandamano yasiyo na kikomo Tanzania. Twende pamoja Mbagala tarehe 25 Desemba 2025 saa 1 jioni Kawe tarehe 25 Desemba 2025 saa 2 usiku Kahama jioni ya tarehe 25 Desemba 2025 Maandamano Tegeta 25 Desemba 2025 saa 2. Usiku Taarifa za maeneo mengine ya nchi zinafuatiliwa na...
  3. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Bunge la Khabil na Kabil na wenzake ndilo lilipoteza mwelekeo wa vuguvugu la maandamano yote yaliyobakia

    Hamjambo Wore. 1. Kama nitaulizwa Maswali nini kilifanya maandamano ya D9 yafeli na vuguvugu la maandamano yanayofuata kupoteza momentum ni pamoja na sababu nilizowahi kuzieleza. 2. Lakini sababu hizi Sikuzitaja katika posts zangu. Nazo ni; a) Kudhibitiwa kwa Mange Kimambi. Mpare huyu...
  4. P

    JamiiForums Tanzania Maandamano si kitu cha lazima ndiyo maana yanahamasishwa na si kulazimishwa

    Wakuu, Kuna watu wamekuwa wakiwashambulia na kuwatukana akina Maria Sarungi na wenzake kwa kuhamashisha maandamano kwa kuhamashisha watu waandamane. Mi naona ni bora hawa watu wanaowashambulia maria Sarungi na wenzake nao wahamasishe watu wasiandamane kisha watu watachagua kipi cha kufuata...
  5. Chizi Maarifer

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kufahamu kuwa wazee wa maandamano wana akili ndogo kasikilize " space " na "live " zao wakipanga mipango ya maandamano.

    Jana nilisikia space ya Maria , insta live ya Nuru vazi na za TikTok nasikilizaga. Nikichogundua kuwa wako very disorganized yaani hakuna kiongozi watu wanaongea hovyo mpaka wengine wanagombana kabisa. Kuna kundi Wanataka maandamano ya Amani mabango bila fujo huku wengine wakitaka wasipangiwe...
  6. Wasomba

    JamiiForums Tanzania Ombi: Harakati za maandamano zisitishwe

    Ombi langu kwa vijana ni kusitisha harakati zote za maandamano. Maandamano yalishafanyika tena makubwa sana. Ujumbe ulishatumwa. Watawala wameshafahamu kuwa wananchi wameshachoka na uhuni uliokuwa ukifanyika wa mazingaombwe ya kura, ufisadi, uminywaji wa haki, utekaji na mauaji. Watawala...
  7. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania GenZ chondechonde, wajumbe wa Serikali za Mitaa na vijiji mtawaonea bure kushambulia familia zao. Achaneni na mpango huu

    Hii ni link ya audio video ya GeZ wakijadiliana namna ya kulianzisha tena pengine kabla hata 25/12 na kuendelea.... https://youtu.be/oLG8oqkpG5c?si=8NzhnwgIimcza0Es Kinachopangwa na kujadiliwa ni maandamano ya kuanzia 25/12. Lakini kilichonishitua zaidi mimi si maandamano yenyewe..... Ni kile...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nguvu ya maandamano imeisha, Serikali tafadhalini sana msituzuie kutoka nje Christmas 25D kama mlichofanya D9.

    Katika sikukuu ya Krismasi, familia nyingi hupata fursa ya kipekee, mara moja tu kwa mwaka, kutoka nje na kukutana na ndugu pamoja na marafiki katika mikusanyiko ya kusherehekea na kufurahia sikukuu hiyo. Litakuwa jambo la kusikitisha sana iwapo tutasikia serikali ikisalimu amri kwa vitisho...
  9. technically

    JamiiForums Tanzania Maandamano yanaishaje? Tarehe 25 barabarani

    Yaani Samia na genge lako mnataka tu maandamano yaishe kirahisi rahisi tu? Wakati ujinga na upumbavu bado unaendelea? Maandamano yaishe Lissu akiwa bado gerezani? Maandamano yaishe Polepole akiwa bado anateswa kigamboni kwenye safehouse? Maandamano yaishe kesi na kamata kamata kwa Watanzania...
  10. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Ni kweli maandamano yalianzia kwa Mpina kisesa, na kwa Gwajima Ubungo? Je wako wapi?

    Moja ya kauli aliyowai kuitoa RAIS Samia, ni kuwa adui zake no wale wa kijani na sio vinginevyo hahahaha! Je, ni kweli maandamano upande wa Mwanza yalianzia kisesa kwa Luhaga Mpina? Je, hao walipmdamana walipewa pesa na Mpina? Kwa upande wa Dar mambo yalianzia kwa KANISA la Mzee Gwajima...
  11. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Yaliyo Kilimanjaro,hayapo Kanda ya ziwa, maandamano Yao yalibebwa na chuki ,ccm watatoana wenyewe madarakani, Mpina na Gwajima.

    Nipo Kanda ya ziwa, hakika Bado taifa letu halijatulia kamwe, Bado Hali HAIJAWAI sawa sawia kamwe, Bado watu wanachuki kubwa mnooo! Niliyoyaona Kilimanjaro, sio ninayo yaona kwa mkoa wa geita na mwanza wasukuma hawawaelewi watawala, Kanda ya ziwa wanataka doto Biteko kuliko MWIGURU mchemba
  12. K

    JamiiForums Tanzania Wakulima Brussels wafanya maandamano kwa Matrekta, EU yaahirisha makubaliano

    Mamia ya wakulima wa Ulaya walijaa mitaa ya Brussels wakipinga makubaliano ya kibiashara ya EU-Mercosur trade . Maandamano yaliyoanza kwa utulivu yaligeuka vurugu, waandamanaji walishambulia Polisi kwa mawe, viazi, na kufanya maandamano ya trekta. Polisi walitumia mabomu ya machozi, maji na...
  13. stakehigh

    JamiiForums Tanzania BBC wamelipia tangazo insta kuonyesha maandamano yalivodhibitiwa

  14. M

    JamiiForums Tanzania TEC naomba muitishe maandamano makubwa kuwakumbuka wote waliotekwa, kuuawa na CCM

    Yawe maandamo ya Amani na siku hiyo ifanyike ibada kubwa .Tena kubwa kabisa. Baada ya maandamano mfanye ibada kubwa . Maandamano haya yawe Tanzania nzima. Muwakumbuke wote bila kubagua dini. Mumkumbe Mzee Ali Kibao na wenzake wote ambao baada ya kutekwa na kuuliwa ilitoka kauli kuwa kifo ni...
  15. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Watanzania wote tutarudi barabarani 25D kuna familia hazijapewa miili ya ndugu zao hadi sasa kwa maandamano wata toa

    Watanzania wote tutarudi barabarani 25D kuna familia hazijapewa miili ya ndugu zao hadi sasa kwa maandamano wata toa
  16. ERTUGRUL BEY

    JamiiForums Tanzania Vijana, Hakuna Kuandamana Mpaka Muone Kibali Rasmi Cha Maandamano

    My people, Ni muendelezo ule ule wa makala zetu mbali mbali za kuwakomboa vijana dhidi ya ushawishi wa kufanya maandamano haramu,ambayo madhara yake wote tunayajua Kwa mujibu wa taratibu za nchi yetu,ili maandamano yawe halali au yapate uhalali basi kuna mambo kadhaa au masharti yapate...
  17. DodomaTZ

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mollel: Samia amefanya makubwa halafu kuna Wapumbavu wanasema hakuna alichofanya na wanahamasisha maandamano!

    Aliyekuwa Naibu Waziri wa Afya, Dk Godwin Mollel akizungumza na Wananchi Mkoani Kilimanjaro amesema hakuna Rais aliyefanya makubwa ndani ya miaka minne kama alivyofanya Rais Samia. Upande wa Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amesema Dkt. Mollel ambaye alikuwa Mbunge wa Jimbo la Siha...
  18. ERTUGRUL BEY

    JamiiForums Tanzania Mifano ya nchi ambazo ziliathirika na vurugu za maandamano

    My people, Machafuko ya Maandamano na Athari Zake: Mifano ya Nchi Tofauti Duniani Maandamano ni njia mojawapo ya wananchi kueleza maoni yao, kudai haki, au kupinga maamuzi ya serikali. Hata hivyo, pale maandamano yanapokosa mwelekeo wa amani, yanaweza kubadilika na kuwa machafuko yenye madhara...
  19. S

    JamiiForums Tanzania Hamza alikuwa mbele ya wakati, aenziwe kwa kufanya maandamano kila 25 August

    25 August 2021 mwamba mmoja aitwaye Hamza Mohammed aliifunga Dar kwa muda wa masaa 3. Akiwa na leso tu ya kujifutia jasho mkononi mwake, aliweza kuwanyang'anya bunduki polisi kisha kuisimamisha Dar kwa muda. Katika sakata hilo Hamza alifanikiwa kuwapeleka peponi polisi 4, na kuwajeruhi 6...
  20. jiwe angavu

    JamiiForums Tanzania Maandamano siku ya Christmass ni ujinga,siungi mkono

    Kimsingi mimi binafsi siungi mkono maandamano hasa siku ya sikukuu ya wakristo. Ama sikukuu yoyote ile ya kidini. Inshu ni Kuikataa serikali ya wahuni basi maandamano hayo yalenge sikukuu za umma/serikali ili kudai haki tunazo zihitaji. Acheni waaamini washerekee sikukuu zao kwa utulivu.
Back
Top Bottom