Maajabu ya Tanzania.

Maajabu ya Tanzania.

Yaani Tanzania ni kama bustani ya Eden inayoongelewa kwenye vitabu vitakatifu kuwa ilikuwapo kati ya mto Tigris na Euphrates. Mungu alitupa kila kitu labda tunakosa uongozi bora tu.
Ipo siku tutayavuka haya hata kwa kupitia kizazi kijacho!
 
Back
Top Bottom