Magayor Mongolian
JF-Expert Member
- Oct 27, 2024
- 1,205
- 2,998
Nataka mizuka ya KiyahuduMyahudi wa Itilima huyo jamaa. 😁
Mashati kama hayo yanauzwa pale Tanganyika pekaz, kawe.
Bange mbaya sana 😂 😆, hiyo picha ipo mitandaoni na hauna trademark nayo .
Achana nao mkuu , bange na visungura vinawafanya wanaropoka hovyoNgoja na mimi nikafunguea id zangu kama 5 hivi nianze kujiongelesha, naona upweke umezidi....
Umwambii kitu kuhusu sabato huyo wengi ni wajaluoMzuka wana jamvi ?
Nimeona shati kwenye avatar ya Echolima1 nimevutiwa nalo la unyama sana mixer ulokwiz hivi naweza kupata wapi kirahisi bongo ?View attachment 3590378
Inasikitisha sanaUmwambii kitu kuhusu sabato huyo wengi ni wajaluo
Mara ya kwanza nilidhani eli cohen na castle lite wanatania ila hata mimi nimekuja kugundua kajamaa kadriz ni kajanja sana😁adriz akitaka kukufikia anakufikia tu 😂.
Yeah, ni jadi yake kujitekenya na kuangua kicheko.Duh ! huyo jamaa Adriz inaonekana ni Funny boe ana vituko vingi sana