Sio vibaya kukumbushana...!!!
Nipende kuwakumbusha ndugu zangu kwamba mkataba wa Koplo Ibra Bacca unasoma hadi mwaka 2027, yaani hapo akitoka anaenda Ulaya, mbali na hapo ataichezea Yanga milele tena milele amina😀.
Kuna Club moja ya Bundasliga inamhitaji lakini sitawaambia hamtaki kutunza siri...