Katika hali isiyo ya kawaida,
kama Uongozi wa SADC ulivyokuwa umekubaliwa na nchi ya Rwanda, kuwarahisishia wanajeshi wa umoja huo, kuondoka mashariki mwa DRC, kupitia mipaka ya Rwanda, huku wakielekea Chato, Tanzania, jana wanajeshi hao ndipo walitakiwa waanze kuondoka.
Haikufahamika mara...