Mwambie akutatue linda,Nishaurini jamani wana JF nimfanyeje huyu mwanaume ili akasirike anipige nipate nafasi ya kuondoka,
Nataka anipige nikimbie
Ukweli umuweka mtu huru, mwambie kuwa huioni mbele yenu mkiwa pamoja hivyo ni bora kutokupotezeana muda.Nishaurini jamani wana JF nimfanyeje huyu mwanaume ili akasirike anipige nipate nafasi ya kuondoka,
Nataka anipige nikimbie
Umeomba tukushauri au unataka utushauri jinsi ya kukushaur?Nianzeje sasa yaaan kanatakiwa ka ugomvi fulani amaizing
Tulia kwako kama ukiaga akagoma basi kumbe unampenda.Sitaki tuachane kuna sehemu tu nataka niende sasa njia zote za kuaga zinafel na nikiondoka bila kuaga nitaachwa bora yeye ndo anikosee
Yote haya ya nini hiyo hela bora akalewe tu. Ajiondokee kimya kimya kama kumuaga hawezi.Ongea na ke umlipe ajilengeshe aliwe alafu uwe na ushahidi au ufanye fumanizi simpo kabisa utakuwa umepata pakuanzia.
Hakikisha humpendi tena.
Hiyo sehemu unayotaka kwenda, usipoenda nini kitatokea? Utapungukiwa niniSitaki tuachane kuna sehemu tu nataka niende sasa njia zote za kuaga zinafel na nikiondoka bila kuaga nitaachwa bora yeye ndo anikosee
Hakika ajiondokee tu kama kashachokaYote haya ya nini hiyo hela bora akalewe tu. Ajiondokee kimya kimya kama kumuaga hawezi.
Mdanganye.. Atapigwa hadi ajinyee, akijunyea mavi nayo yanapigwa hadi yanatoa harufu halafu harufu inakamatwa inafungiwa wanaenda kutengeneza pafyumuMtukanie mama yake