Kocha wa Manchester City Pep Guardiola amesema ameshangazwa na uamuzi wa kocha wa klabu ya Liverpool ya Uingereza Urgen Klopp kuamua kuondoka Liverpool mwishoni mwa msimu huu.
Klopp amesema amefikia uamuzi huo kwa kile alichodai kwamba ni swala la uchovu.
Lakini hata hivyo kocha Guardiola amesema kuondoka kwa Klopp japo inamsikitisha lakini itamfanya walau sasa apate usingizi.
Klopp amesema amefikia uamuzi huo kwa kile alichodai kwamba ni swala la uchovu.
Lakini hata hivyo kocha Guardiola amesema kuondoka kwa Klopp japo inamsikitisha lakini itamfanya walau sasa apate usingizi.
EPL: I'm pleased, will sleep better now - Guardiola reacts to Klopp’s Liverpool exit
Manchester City manager, Pep Guardiola has reacted to Jurgen Klopp's exit from Liverpool at the end of the season. Guardiola said he will ‘sleep a little
dailypost.ng