kujifunza

  1. FORTUNE JR

    Wanawake waliotuzunguka ni puto na sindano kwenye mafanikio ya vijana wengi wa kiume

    80% ya wanawake waliotuzunguka Ni puto na Sindano kwenye mafanikio ya vijana wengi wa kiume. Imenichukua mda mrefu kuiva katika hili ila ndani ya mda mfupi ntakupa nondo zililivotukuka zitakazokujenga na kubadili maisha yako sana Let's Go.... Ilikuwa ni Asubuhi moja Murua, Nikiwa katika...
  2. peno hasegawa

    Kuna la kujifunza kuhusu mkataba wa DP World na wabunge wa CCM,

    Nimeuliza tu !! Japo mada hii itafutwa nusu saa ijayo
  3. GoldDhahabu

    Kuna la kujifunza kutoka kwa wachuuzi wadogo

    Mwanzoni mwa mwaka 2020, nilifanya mazungumzo na kijana mmoja muuza mahindi ya kuchoma Mjini Kahama. Nilitaka kufahamu, pamoja na mambo mengine, manufaa wanayoyapata kutokana na hiyo biashara. Aliniambia, ni biashara inayomlipa sana. Alipokosa nafasi ya kuenedelea na masomo baada ya kuhitimu...
  4. MK254

    Putin ana la kujifunza kwa jinsi Warusi walikua wanamshangilia kiongozi wa Wagner

    Warusi walijitokeza wengi kulaki Wagner na jitihada zao kwenye uasi, ni dhahiri wameuchoka utawala wa Putin ila wanashindwa pakuanzia. Putin alishauriwa vizuri akaacha mikwara na kutafuta namna ya kuyajenga na Wagner......
  5. Suley2019

    Wanawake wahimizwa kujifunza Ubaharia

    VIJANA wa kike wameshauriwa kujiunga na masomo ya ubaharia, ili kuziba pengo la uhaba wa jinsi ya kike katika sekta ya Uchukuzi. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya Ilemela, Hassan Masala, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza wakati akihitimisha maadhimisho ya siku ya mabaharia duniani leo...
  6. 5

    Toba iletayo majibu

    👇
  7. Mmawia

    Wana-CCM kuuchukia upinzani mnafanya makosa, mtakosa kujifunza na kujirekebisha

    Kumchukia mtu anayekukosoa ili ujirekebishe huo ni ujinga tu. Kitendo kinachofanywa na wana CCM kuwabeza wapinzani pale wanapokosolewa ni kuendekeza ujinga tu. Leo hii bungeni kumejaa misemo ya ubaguzi eti oooo Mbowe ametamka maneno ya kibaguzi. Wacheni hizo ngonjera mbakie kwenye jambo la...
  8. Maria Nyedetse

    Selection ya kidato cha tano kuna mengi ya kujifunza

    Habari wanajamvi... Niende kwenye mada; mwaka huu TULIPATA habari kuwa wanaopangwa SAYANSI yaani PCM na PCB ni wenye daraja la kwanza tu tena wavulana ni 7-15 na WASICHANA ni 7-17... Ni jambo jema kuimarisha msingi wa elimu ili kujihakikishia wataalam bora hapo baadaye; Ninachojiuliza mimi ni...
  9. Mwl.RCT

    SoC03 Uongozi wa Kweli: Uwajibikaji, Kujenga Mtazamo Mzuri wa Uongozi, na Kuwasaidia Wafanyakazi Kujifunza na Kukua kiutendaji

    UONGOZI WA KWELI: UWAJIBIKAJI, KUJENGA MTAZAMO MZURI WA UONGOZI, NA KUWASAIDIA WAFANYAKAZI KUJIFUNZA NA KUKUA KIUTENDAJI Imeandikwa na: MwlRCT Picha | Kwa hisani ya superbeings UTANGULIZI Mada yangu ni "Uongozi wa Kweli: Uwajibikaji, Kujenga Mtazamo Mzuri wa Uongozi, na Kuwasaidia Wafanyakazi...
  10. demigod

    Mambo 10 ambayo Simba SC inapaswa Kujifunza Kutoka Yanga SC

    Kwanza, ni muhimu kuelewa kuwa kila timu ina changamoto zake na hakuna njia moja ya kufikia mafanikio. Hata hivyo, hapa kuna mambo kumi ambayo Simba SC wanaweza kuyafanya ili kufikia kiwango na ubora wa Yanga SC hivi sasa:- 1. Kuwa na uongozi thabiti na waaminifu ambao unaweza kuendesha timu...
  11. R

    Matumizi ya neno KUWEZA kwenye vyombo vya habari yamekaaje?

    Ukisikiliza vyombo vya habari vikiripoti matukio ya vifo au majeruhi utasikia Kwa mfano " watu wawili wameweza kupoteza maisha" au " mtu mmoja aliweza kujeruhiwa". Haya ni matumizi sahihi ya kitenzi hiki? Nimejifunza lugha za mataifa mengine na msaada mkubwa kwenye kujifunza ilikuwa kusikiliza...
  12. G-Mdadisi

    Wanawake wenye nia ya kugombea Uchaguzi mkuu 2025 watakiwa kujifunza kwa waliowatangulia

    ZANZIBAR KATIKA kuhakikisha ushiriki wa wanawake katika vyombo vya maamuzi unaongezeka, wanawake wenye ndoto za kugombea uongozi wameshauriwa kuanza kujifunza kutoka kwa wanawake wanasiasa waliowatangulia ili kuongeza ujasiri na uthubutu wa kukabiliana na vikwazo kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025...
  13. B

    Kenyatta anaposimama na Odinga, CHADEMA mnayo ya kujifunza

    Imekuwa ni kawaida kwa wajuaji uchwara wa bongo kumwona Raila kama mkabila na mpuuzi fulani. How Ruto allies provoked Uhuru to get involved in politics Kenyatta kusimama na Odinga njoo 2027 kama bado siyo funzo kwa wajuaji uchwara hawa watajifunza lini? Cha kusikitisha zaidi baadhi ya wajuaji...
  14. Dr Matola PhD

    Funzo tunalopaswa kujifunza kufuatia kifo cha mwenzentu Le Mutuz, tuandike wasifu wetu wenyewe

    Kufuatia kifo cha member member mwenzentu wa JF Le Mutuz pamoja na mengi mengineyo lakini kubwa hakuna wa kuandika wasifu wa marehemu wala historia yake maana kazi hiyo aliifanya yeye mwenyewe. Hivyo natoa rai katika mambo ya maana sana aliyofanya Le Mutuz ni pamoja na kuandika historia yake...
  15. sky soldier

    Mwanafunzi anaetumia nguvu na muda mwingi kujifunza kitu kile kile kwa msaada mkubwa ili aelewe, akifaulu ni Genius?

    Maana nashangaa nashindwa kuelewa watu wanawaitaje hawa watu magenius na utawalinganisha vipi na wale ambao wanaweza kujifunza haraka bila kurudia rudia na wana msaada mdogo wa material na walimu. Unakuta mwanafunzi topic 1 tu anaiwekea nguvu kubwa mnooo! Yaani anairudia rudia sana ili iwe kama...
  16. anti-Glazer

    Mgomo wa wafanyabiashara una mengi ya kujifunza

    Nianze Moja Kwa Moja. 1. Sekta ya biashara ndiyo Kila kitu. Ieleweke kwamba watumishi wa umma wasipojifunza kwaambafanyabiashara ndiyo mfalme wa kada zote basi hawatarthubutu kugoma maana hawana nguvu. Serikali zote duniani biashara trade is another level. Zinaheshimu wafanyabiashara kupita...
  17. Okrap

    Mambo 5 ambayo wanaume mnaweza kujifunza kutoka kwa wanawake.

    Wanaume mnaweza kujifunza kutoka kwetu wanawake. Tuna mengi ya kuwashirikisha mjifunze kutoka kwetu wanawake, kwa leo nitawapa mambo matano tu... 1. Wape kipaumbele watu wako Wanaume wengi ni wabinafsi kwa asili na ni wachoyo wenye roho mbaya. Bali wanawake wengi huweka maslahi ya familia...
  18. Strictly Syrup

    Ninatarajia kuanza kujifunza 3D. Ni software gani inafaa na inatumika zaidi kwa matumizi ya kiofisi na kibiashara?

    Salaam brothers and sisters, Ni jambo ambalo nimekuwa nikilipanga muda mrefu kuhusu kuanza 3D, lakini softwares ni nyingi, na nilitamani kujua ipi inafaa zaidi na itakuwa rahisi kutumia assets nitakazokuwa natengeneza kwa Adobe AfterEffects?! Natanguliza shukrani.
  19. L

    Afrika inapaswa kujifunza mbinu za China za kutokomeza ugonjwa wa malaria

    Kila ifikapo Aprili 25 dunia inaadhimisha siku ya malaria. Tangu kutuingine kwenye karne ya 21, Shirika la Afya duniani (WHO) limekuwa likitangaza makadirio ya idadi ya watu wanaofariki kwa ugonjwa huu. Wakati huohuo WHO na jamii ya kimataifa zimefanya kazi ya kuunga mkono juhudi za serikali za...
  20. S

    Simba kujifunza kwa Yanga sio Dhambi

    Kulibeza kombe la shirikisho haisaidii kitu, jifunzeni kutoka kwa Yanga wamewezaje kuikaribia nusu fainali kwa mara ya kwanza kwenye historia ya nchi yetu,Simba lwamecheza kombe hili mara moja lakini walishindwa kusogea hii hatua,walau hata kuinusa tu achilia mbali kushinda !!.
Back
Top Bottom