Ni ujuzi gani wa kuongeza thamani ninaweza kujifunza kwa mwezi mmoja hapo Dar es Salaam, Nairobi au Kampala?

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,587
15,373
Wakuu nawasalimu katika jina la Jamuhuri.

Natarajia kuwa mapumziko ya mwezi mmoja katuka moja ta majiji ya EA DSM, Kampala, Nairobi au Kigali, Nataka kuyatumia pamoja na mambo mengine kuongeza na kujinoa kwa ajili ya kuwa bora zaidi.

Naweza kusaidiwa mahali pa kujifunza ujuzi wowote kwa mwezi mmoja ikiwemo;

1. Kuongea kiingereza (sio kusoma) katikq level za kimataifa (sio hiki kiingereza changu cha kiswahili).
Nasikia kuna hayo machimbo.

2. Ujuzi wa mauzo (Sales and marketing skills).

3. Ujuzi wa kutumia vyomo vya muziki kama piano na guiter. Hii inajumuisha kuimba hymnals kwa kusoma zile notes.

4. Videography. Kuchukua na kurecord videos kwa viwango vya kimataifa ikiwemo simple video editing for social media engaging contests.

5. Public speaking advanced skills.

6. Lugha mpya Kichina au Kiarabu au kifaransa.

7. Matumizi ya artifical intelligence na mambo ya passive incomes au side hustle skills.

Na mambo mengine mazuri mazuri ya maana.

Mwenye ujuzi au connection, ili mwaka huu usipite bure. Au kama kuna kitu kingine kuzuri cha kuongezs thamani unaweza kunielekeza.
 
Wakuu nawasalimu ktk jina la Jamuhuri.

Natarajia kuwa mapumziko ya mwezi mmoja katuka moja ta majiji ya EA DSM, Kampala, Nairobi au Kigali, Nataka kuyatumia pamoja na mambo mengine kuongeza na kujinoa kwa ajili ya kuwa bora zaidi.

Naweza kusaidiwa mahali pa kujifunza ujuzi wowote kwa mwezi mmoja ikiwemo

1: Kuongea kiingereza (sio kusoma) katikq level za kimataifa (sio hiki kiingereza changu cha kiswahili).
Nasikia kuna hayo machimbo.

2: Ujuzi wa mauzo (Sales and marketing skills)

3: Ujuzi wa kutumia vyomo vya muziki kama piano na guiter. Hii inajumuisha kuimba hymnals kwa kusoma zile notes.

4: Videography. Kuchukua na kurecord videos kwa viwango vya kimataifa ikiwemo simple video editing for social media engaging contests.

5: Public speaking advanced skills.

6: Lugha mpya Kichina au Kiarabu au kifaransa.

7: Matumizi ya artifical intelligence na mambo ya passive incomes au side hustle skills.


Na mambo mengine mazuri mazuri ya maana.

Mwenye ujuzi au connection, ili mwaka huu usipite bure. Au kama kuna kitu kingine kuzuri cha kuongezs thamani unaweza kunielekeza.
Neenda veta changombe ujifunze ujuzi upya
 
Mkuu ukiwa na smartphone hivo vyote unaweza kujifunza mdogo mdogo online itakuokoa gharama na mda pia, kuhusu English hakinyooki in a month chakufanya download apps za kufundishwa na uwe unasikiliza Sana BBC au skynews angalia wanavoongea na sikiliz kwa umakini at the end kitanyooka tu, best luck
 
Mkuu ukiwa na smartphone hivo vyote unaweza kujifunza mdogo mdogo online itakuokoa gharama na mda pia, kuhusu English hakinyooki in a month chakufanya download apps za kufundishwa na uwe unasikiliza Sana BBC au skynews angalia wanavoongea na sikiliz kwa umakini at the end kitanyooka tu, best luck
Kweli, AI ni simu yako kila kitu unapata humo ni swala la kuchagua tu unataka nn
 
Mkuu ukiwa na smartphone hivo vyote unaweza kujifunza mdogo mdogo online itakuokoa gharama na mda pia, kuhusu English hakinyooki in a month chakufanya download apps za kufundishwa na uwe unasikiliza Sana BBC au skynews angalia wanavoongea na sikiliz kwa umakini at the end kitanyooka tu, best luck
Nakushukuru.
Ingawa nilidhani kuwa na mentor au face to face vitu nvingekaa zaidi, maana muda sio ishu nitakuwa nao, na gharama sio ishu ujuzi ni bora kuliko hofu ya gharama.
 
Kweli, AI ni simu yako kila kitu unapata humo ni swala la kuchagua tu unataka nn
Ni kweli, nimesave videos/tutorials za ai zaidi ya 200 tiktok. Tatizo kipi ni kipi na jinsi ya kuzicustomize zilete matokeo ni tabu. Hapo ningepata brush mwezi mxima kwa mentor ambaye ameshafanyia kqzi hata ai za kulipia na akapata matokeo ningefurahi zaidi.

Hizi ni kwa ajili ya
Youtube automation na monetization
Books writing
Ai generated pictures and illustrations
E.tc naona wazungu wanapiga pesa (paasiv4 income kwa ai bila kutumiq nguvu).
Kuna vitu namiss katika kunnect dots ili na mimi niweze kula keki ya dunia. Ndio maana nimeset mwezi kwa ajili ya mwaka huu
 
Ni kweli, nimesave videos/tutorials za ai zaidi ya 200 tiktok. Tatizo kipi ni kipi na jinsi ya kuzicustomize zilete matokeo ni tabu. Hapo ningepata brush mwezi mxima kwa mentor ambaye ameshafanyia kqzi hata ai za kulipia na akapata matokeo ningefurahi zaidi.

Hizi ni kwa ajili ya
Youtube automation na monetization
Books writing
Ai generated pictures and illustrations
E.tc naona wazungu wanapiga pesa (paasiv4 income kwa ai bila kutumiq nguvu).
Kuna vitu namiss katika kunnect dots ili na mimi niweze kula keki ya dunia. Ndio maana nimeset mwezi kwa ajili ya mwaka huu
Chukua tutorials za YouTube au ingia google huwa wana tutorials pia... Hizo huwa na mtaala na tips nzuri zaidi

Ukiona ni mvivu, bhasi tafuta mtu yoyote anaefanya studio production ambayo kwako unaona ni bora, then mlipe akufundishe

Kuhusu marketing ingia YouTube, dipo tutorials za kutosha na kama sio mvivu, tafuta vitabu vya phillip kotler .. Kuhusu kufanya sales "mauzo" Hii ni sanaa ambayo wabongo wengi wamezaliwa nayo 😁😁😁, kama hauna, anzisha biashara yoyote na uanze kuipush huku ukijifunza copywriting ili uweze kuisoma phychology ya mteja vizuri. Utatoboa slowly

Yaani viiiiingi hapo unaweza kuvisoma mtandaoni lakini uwe vizuri kwenye kufanyia implementation, sio unajifungia na tutorials halafu unaishia kuzitazama Tu. Practice makes perfect
 
Chukua tutorials za YouTube au ingia google huwa wana tutorials pia... Hizo huwa na mtaala na tips nzuri zaidi

Ukiona ni mvivu, bhasi tafuta mtu yoyote anaefanya studio production ambayo kwako unaona ni bora, then mlipe akufundishe

Kuhusu marketing ingia YouTube, dipo tutorials za kutosha na kama sio mvivu, tafuta vitabu vya phillip kotler .. Kuhusu kufanya sales "mauzo" Hii ni sanaa ambayo wabongo wengi wamezaliwa nayo 😁😁😁, kama hauna, anzisha biashara yoyote na uanze kuipush huku ukijifunza copywriting ili uweze kuisoma phychology ya mteja vizuri. Utatoboa slowly

Yaani viiiiingi hapo unaweza kuvisoma mtandaoni lakini uwe vizuri kwenye kufanyia implementation, sio unajifungia na tutorials halafu unaishia kuzitazama Tu. Practice makes perfect
😁😁mkuu nimepokea maelekezo.
Hapo uvivu na kukwepa implementation ndio nimeelewa zaidi. Ubarikiwe
 
Back
Top Bottom