kuingia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bata batani

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Warning: Epuka kuingia kwenye mahusiano yeyote kwa nia ya kupata ndoa utakuja kuumia

    Sio kila mwanaume au mwanamke anaingia katika mahusiano na wewe ana nia ya kuolewa na wewe hapana kuna wengine wanakuja kupunguza stress, wengine wanakuja kwa sababu they need financial support, wengine wako broked na wengine wamekuja kuzuga tuu siku mtu wake anampenda akizingua tuu basi awe na...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nashukuru kwa kuingia JF

    Napenda kuwasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mimi ni kama kuku mgeni bado nina kamba miguuni. Naomba mapokezi yenu wana JF.
  3. The Boss

    JamiiForums Tanzania Orodha ya bidhaa ambazo Serikali inatakiwa izizuie kuingia nchini

    Binafsi naamini ukosefu wa ajira unasababishwa na kujilemaza na kuruhusu nchi iagize nje kila aina ya takataka, kuna aina za bidhaa iwapo zitakosekeana Vijana automatically watajifunza namna ya kutengeneza na kujipatia ajira na kipato, na wala sio bidhaa za ulazima kwamba zikikosekana nchi...
  4. IBRA wa PILI

    JamiiForums Tanzania Nilipotaka kuingia mkenge wa kununua bidhaa Ali -express

    Ishu ipo ivi katika pita pita zangu na kuchungulia ile app ya Ali express, ambayo ninayo kwenye simu hua naangalia kuna bidhaa gani mpya ambayo naweza nunua kwa matumuzi yangu binafsi? Bana nikakutana na bidhaa mpya ambayo ni flash drive ya ((2tb)), tala bite mbili ambazo sawa na gb elfu 2...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Mwananyamala: Rais Samia ala kona baada ya kuambiwa wodi anayotaka kuingia ni ya wagojwa wenye matatizo ya kupumua

    😀😀😀😀😀 niko hapa sebuleni kwangu naangalia Tv nimefurahi sana Rais Samia alivyosita kuingia wodini baada ya kuambiwa ni maalum kwa ajili ya wagonjwa wenye matatizo ya kupumua hospitali ya Mwananyamala.
  6. J

    JamiiForums Tanzania Dr Kigwangalla: Mzee Kikwete alinifungulia mlango wa kuingia kwenye siasa, namtakia maisha marefu!

    Dr Kigwangalla amesema mzee Kikwete ndiye aliyemfungulia mlango wa kuingia kwenye siasa hivyo anajisikia fahari sana. Kigwangalla amemtakia mstaafu mzee Kikwete maisha marefu na yenye furaha. Awali Kigwangalla alisema mawaziri wanaoteuliwa kwa kubebwa huwa hawana ubunifu na huishia kukaa tu...
  7. Geza Ulole

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya suspends Somalia flights for three months

    Kenya on Monday suspended flights from Somalia in the latest show that relations between the two sides have not thawed as announced last week. A Notice to Airmen (Notam) on Monday indicated that flights departing for or arriving from Somalia will not be allowed for three months from May 11 to...
  8. BAK

    JamiiForums Tanzania Nchi nyingi duniani zimewazuia wasafiri toka India kuingia kwenye Nchi zao, Tanzania tunasubiri nini?

    Covid: India on UK travel red list as Covid crisis grows Coronavirus pandemic A medic tests a bus passenger in Jaipur, Rajasthan, India, on Thursday India has joined the UK's travel red list - effectively banning travel - as a deadly second wave of infections sweeps the country. British and...
  9. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Mtanzania hahitaji Visa kuingia katika nchi hizi

    VISA FREE DESTINATIONS FOR A TANZANIAN 5 February 2016 Sakina Shabbir Manji Most countries require a Visa with your Tanzanian passport in order to enter. However there are some visa free countries that will allow you to enter their premises without a visa or will provide you with one as soon as...
  10. Mboka man

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mada moto: Ni sahihi kuingia kwenye ndoa kwa hofu ya kuogopa kumpoteza umependaye?

    Inapofika wakati mpenzi wako anataka kuolewa au anataka kuoa na wewe ukijiangalia hauko tiyali kutokana sababu mbalimbali labda bado unasoma,hujajipanga vizuli, au kuna mambo unataka uyaweke sawa ndio uowee Je, ni sahihi kuingia kwenye ndoa kwa hofu ya kuogopa kumpoteza umpendaye na ukasitisha...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Mchawi anawezaje kuingia ndani ya nyumba iliyofungwa?

    Wakuu habari Siku hizi Nina interest kubwa na quantum physics au quantum mechanics na nilikuwa najaribu kuhusianisha hizi habari za wachawi kupita kati ya kuta za nyumba na kuingia ndani na kitu kinachoitwa quantum tunnelling kwenye quantum physics. Si wachawi tu Ila kuna simulizi katika...
  12. Dr hyperkid

    JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi kuingia maliwatoni na kapero (kofia au barakashe)?

    Nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri wakuu, Nisipoteze muda kuna hili swala limetokea pahali kidogo limenishangaza bada ya mzee mmoja kuchachama kwa ukali juu ya tabia ambayo binafsi sijaona kama ni tatizo japo si mumini wa hiyo tabia hapana. Mzee alikuwa mbogo na kudai kijana hayaheshimu maliwato...
  13. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Misri na Ethiopia zipo katika hati hati ya kuingia vitani juu ya bwawa la kufua umeme linalojengwa na Ethiopia

    Bwawa la Grand Renaissance Dam ambalo limekuwa likijengwa nchini Ethiopia kwa zaidi ya miaka 10 sasa linatajwa kuwa ndio litakuwa kubwa kabisa Afrika kwa sasa. Bwawa hili limefikia hatua ya ujazaji maji, na Misri analalamika kwamba kiwango cha maji ya mto Nile yanayowafikia kitapungua na hivyo...
  14. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Mtu binafsi anaweza kumiliki soko?

    Kwa jina la jamhuri, Wakuu hivi kama nina kiwanja naona kimekaa sehemu nzuri naweza kukifanya kiwe soko? Yaani hapo kati nijenge au niwape watu wajenge meza za kuweka mambo ya mbogamboga, nafaka na vyakula vingine halafu pembeni nijenge furemu kuzunguka. Kama tu yalivyo masoko mengi. Hapo...
  15. Tony254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzania imezuia madereva wa Kenya kuingia nchini humo

    Tanzania imeanzisha tena vita vya kiuchumi kama kawaida yao. Tanzania imezuia madereva wa Kenya kuingia nchini humo bila kutoa sababu zozote za kimsingi. Naona bado mnataka vita hamjatosheka. Mkimwaga mboga sisi tutamwaga ugali.
  16. Meshacky Allyson

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vitu gani unazingatia, wewe binafsi kabla ya kuingia kwenye mahusiano?

    Habari wana JF, Natumaini mu wazima wa afya ni Dua na maombi yangu kwa mola ,azidi kuwalinda na kuwapa maarifa na hekima ili tuzidi kufundishana na kupeana mawazo, Narudi kwenye mada. Binafsi nipo single na huwa nikikutana na marafiki au washkaji zangu, wengi huwa nikiwauliza why umeingia...
Back
Top Bottom