Taliban waanza kuingia mjini Kabul

chivala

JF-Expert Member
Apr 13, 2021
772
2,333
Hali ya wasiwasi imeanza kutanda duniani kote baada ya waasi wa Afghanistan wenye MSIMAMO mkali wa kiislam kutwaa miji mikubwa ya nchi hiyo na sasa kungia kwenye baadhi ya viunga va mjimkuu wa nchi hiyo KABUL.

Sasa hivi marekani na nchi nyingine zinahaha na harakati za kuwahamisha wandiplomasi wao kwa kutumia helicopters za jeshi la Marekani.

Screenshot_20210815-112033_Gallery.jpg
Internet_20210815_094836_3.jpg
Internet_20210815_095127_3.jpg
Internet_20210815_095127_5.jpg
Internet_20210815_095127_2.jpg

Internet_20210815_095127_2.jpg

View attachment 1893068
 
20210815_114212_temp.jpg
KABUL, Aug 15 (Reuters) - Taliban insurgents entered the Afghanistan capital Kabul on Sunday, an interior ministry official said, as the United States evacuated diplomats from its embassy by helicopter.

The senior official told Reuters the Taliban were coming in "from all sides" but gave no further details.

A tweet from the Afghan Presidential palace account said firing had been heard at a number of points around Kabul but that security forces, in coordination with international partners, had control of the city.

U.S. officials said the diplomats were being ferried to the airport from the embassy in the fortified Wazir Akbar Khan district. More American troops were being sent to help in the evacuations after the Taliban's lightning advances brought the Islamist group to Kabul in a matter of days.

Just last week, a U.S. intelligence estimate said Kabul could hold out for at least three months.

"Core" U.S. team members were working from the Kabul airport, a U.S. official said, while a NATO official said several EU staff had moved to a safer, undisclosed location in the capital.

A Taliban official told Reuters the group did not want any casualties as it took charge but had not declared a ceasefire.

There was no immediate word on the situation from President Ashraf Ghani, who said on Saturday he was in urgent consultations with local leaders and international partners on the situation.

Earlier on Sunday, the insurgents captured the eastern city of Jalalabad without a fight, giving them control of one of the main highways into landlocked Afghanistan. They also took over the nearby Torkham border post with Pakistan, leaving Kabul airport the only way out of Afghanistan that is still in government hands.

The capture of Jalalabad followed the Taliban's seizure of the northern city of Mazar-i-Sharif late on Saturday, also with little fighting.

"There are no clashes taking place right now in Jalalabad because the governor has surrendered to the Taliban," a Jalalabad-based Afghan official told Reuters. "Allowing passage to the Taliban was the only way to save civilian lives."

A video clip distributed by the Taliban showed people cheering and shout Allahu Akbar - God is greatest - as a convoy of pick-up trucks entered the city with fighters brandishing machine guns and the white Taliban flag.


After U.S.-led forces withdrew the bulk of the their remaining troops in the last month, the Taliban campaign accelerated as the Afghan military's defences appeared to collapse.

Taliban forces patrol a street in Herat, Afghanistan August 14, 2021.

President Joe Biden on Saturday authorised the deployment of 5,000 U.S. troops to help evacuate citizens and ensure an "orderly and safe" drawdown of military personnel. A U.S. defence official said that included 1,000 newly approved troops from the 82nd Airborne Division.

Taliban fighters entered Mazar-i-Sharif virtually unopposed as security forces escaped up the highway to Uzbekistan, about 80 km (50 miles) to the north, provincial officials said. Unverified video on social media showed Afghan army vehicles and men in uniforms crowding the iron bridge between the Afghan town of Hairatan and Uzbekistan.

Two influential militia leaders supporting the government - Atta Mohammad Noor and Abdul Rashid Dostum - also fled. Noor said on social media that the Taliban had been handed control of Balkh province, where Mazar-i-Sharif is located, due to a "conspiracy."


POPULARLY ACCEPTED
In a statement late on Saturday, the Taliban said its rapid gains showed it was popularly accepted by the Afghan people and reassured both Afghans and foreigners that they would be safe.

The Islamic Emirate, as the Taliban calls itself, "will, as always, protect their life, property and honour, and create a peaceful and secure environment for its beloved nation," it said, adding that diplomats and aid workers would also face no problems.

Afghans have fled the provinces to enter Kabul in recent days, fearing a return to hardline Islamist rule.


Early on Sunday, refugees from Taliban-controlled provinces were seen unloading belongings from taxis and families stood outside embassy gates, while the city's downtown was packed with people stocking up on supplies.

Hundreds of people slept huddled in tents or in the open in the city, by roadsides or in car parks, a resident said on Saturday night. "You can see the fear in their faces," he said.

Biden said his administration had told Taliban officials in talks in Qatar that any action that put U.S. personnel at risk "will be met with a swift and strong U.S. military response."

He has faced rising domestic criticism as the Taliban have taken city after city far more quickly than predicted. The president has stuck to a plan, initiated by his Republican predecessor, Donald Trump, to end the U.S. military mission in Afghanistan by Aug. 31.


Biden said it is up to the Afghan military to hold its own territory. "An endless American presence in the middle of another country's civil conflict was not acceptable to me," Biden said on Saturday.

Qatar, which has been hosting so-far inconclusive peace talks between the Afghan government and the Taliban, said it had urged the insurgents to cease fire. Ghani has given no sign of responding to a Taliban demand that he resign as a condition for any ceasefire.

Reporting by Kabul and Washington bureaus, Writing by Raju Gopalakrishnan, Alasdair Pal, Cynthia Osterman; Editing by William Mallard.

Source:Reuters

20210815_114212_temp.jpg
 
Mkuu kilichowapata wamarekani Afghan hakitafautiani na kile kilichowahi kuwapata wao miaka ya 70 huko VIETNAM, kwa hivyo wamarekani waliikimbia Afghanistan baada ya kuelemewa vibaya na wapiganaji wa TALIBAN.
 
Mkuu kilichowapata wamarekani Afghan hakitafautiani na kile kilichowahi kuwapata wao miaka ya 70 huko VIETNAM, kwa hivyo wamarekani waliikimbia Afghanistan baada ya kuelemewa vibaya na wapiganaji wa TALIBAN.
Usilinganishe Vietnam na Afghastan. Huu uongo umehadithiwa na nani? Wamarekani waliondoka kitambu Afghastan baada ya Wanajeshi Wa Serikali kusema hawataki waendelee kuwepo. Watajilinda wenyewe...
 
Mkuu kilichowapata wamarekani Afghan hakitafautiani na kile kilichowahi kuwapata wao miaka ya 70 huko VIETNAM, kwa hivyo wamarekani waliikimbia Afghanistan baada ya kuelemewa vibaya na wapiganaji wa TALIBAN.
Si walisema akifa Osama ndio mwisho wa vita au
 
Si walisema akifa Osama ndio mwisho wa vita au
Mkuu unajua Osama hakuwa anaendesha harakati za kampuni yake ya kibiashara, yeye na akina Mullah Omar na Alqaida pamoja na TALIBAN, alikua anaendesha taasisi ya harakati za kiislam ambao zipo nyoyoni mwa waislam ndani ya Afghanistan na ulimwengu mzima wa kiislam. Kwa hivyo hata alivokufa bado harakati ziliendelezwa.
 
hali ya wasiwasi imeanza kutanda duniani kote baada ya waasi wa Afghanistan wenye MSIMAMO mkali wa kiislam kutwaa miji mikubwa ya nchi hiyo na sasa kungia kwenye baadhi ya viunga va mjimkuu wa nchi hiyo KABUL. Sasa hivi marekani na nchi nyingine zinahaha na harakati za kuwahamisha wandiplomasi wao kwa kutumia helicopters za jeshi la marekaniView attachment 1892951View attachment 1892953View attachment 1892954View attachment 1892955View attachment 1892956

View attachment 1892952
Wamarekani bhana...yaani wameshamaliza Kuinyonya vya kutosha nchi hiyo kwa miaka karibia 20 na baada ya kuona Afghanistan haina tena Rasilimali leo ndiyo wanaondoka tena hadi kutaka Kuondoa Raia wao.
 
Karibu miji mkuu ya Afghanistan yote ya Afghanistan, TALIBAN wakiteka siku 3 ziliopita bila mapigano yoyote na sasa KABUL!
Screenshot_20210815-125626_Facebook.jpg
_119919104_afghanistan_control_map_12_aug_herat_ghazni_qala_kandahar_lashkar_640-nc-002.jpg
Internet_20210815_094836_3.jpg
 

Attachments

  • _119919104_afghanistan_control_map_12_aug_herat_ghazni_qala_kandahar_lashkar_640-nc-002.jpg
    _119919104_afghanistan_control_map_12_aug_herat_ghazni_qala_kandahar_lashkar_640-nc-002.jpg
    78.7 KB · Views: 1
"An endless American presence in the middle of another country's civil conflict was not acceptable to me," Biden said on Saturday.
 
Mkuu unajua Osama hakuwa anaendesha harakati za kampuni yake ya kibiashara, yeye na akina Mullah Omar na Alqaida pamoja na TALIBAN, alikua anaendesha taasisi ya harakati za kiislam ambao zipo nyoyoni mwa waislam ndani ya Afghanistan na ulimwengu mzima wa kiislam. Kwa hivyo hata alivokufa bado harakati ziliendelezwa.
Hiki ndicho ninachokifahamu Mimi .Marekani hamuwezi mwarabu ht iweje na kuondoka kwake Sasa ndio imekuwa ushindi wa Talban na Alqaida
 
"An endless American presence in the middle of another country's civil conflict was not acceptable to me," Biden said on Saturday.
Hapa alimaanisha hawezi kushadidia vita isiyo kwani haoni manufaa kwake..Lkn akumbuke jamaa zake wamewaumiza Sana waarabu ...kwhy wakipiga hodi kwake atulie mwaarabu hajawahi kuacha kisasi
 
Hapa alimaanisha hawezi kushadidia vita isiyo kwani haoni manufaa kwake..Lkn akumbuke jamaa zake wamewaumiza Sana waarabu ...kwhy wakipiga hodi kwake atulie mwaarabu hajawahi kuacha kisasi
Upo sahihi sana.Sasa hivi Afrighanstan itakuwa ni makao makuu ya magaidi wote duniani.
 
Back
Top Bottom